Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,174
tetesi nilizonazo ni kuwa Bwana vijisenti ameaafiki maamuzi ya CC CCM na kuwa ataachia ngazi zote ndani ya ccm na serikalini wiki ijayo......hususani Ubunge.....hili llitamwacha lowassa katika njia panda kwa sababu ataonekana ni pekee yake aliyekiuka maagizo ya cc kuhusiana na dhana nzima ya kujivua gamba...................................
nionavyo Bwana vijisenti kaamua kutii ili kulindwa asishitakiwe...........
nionavyo Bwana vijisenti kaamua kutii ili kulindwa asishitakiwe...........