jimbo la chenge limekaa vizuri likiwa wazi. Kama Dr. Slaa akipiga mikutano ya nguvu cdm wanalichukua. Sasa hivi kuna upinzani dhaifu wa UDP ambao hata hawajui watawafikisha wapi wananchi wao.
Ila wananchi wa kule wanapenda sana utani. Kam cdm wakipata kijana anayejua kurusha vijembe vya kuwafurahisha watu basi anaweza kushinda . Wale watu hawapendi sana mtu ambaye yuko serious ndo maana cheyo huwa anashinda kwa sababu tu ya vijembe vyake vile.
Ila kiukweli vijisenti huwa anashinda kwa kununua tu hawezi hata kuongea. Mke wake ndo huwa anapiga kampeni maana kanajua kupiga vijembe na ndo kanagwa pochi.
Ila wananchi wa kule wanapenda sana utani. Kam cdm wakipata kijana anayejua kurusha vijembe vya kuwafurahisha watu basi anaweza kushinda . Wale watu hawapendi sana mtu ambaye yuko serious ndo maana cheyo huwa anashinda kwa sababu tu ya vijembe vyake vile.
Ila kiukweli vijisenti huwa anashinda kwa kununua tu hawezi hata kuongea. Mke wake ndo huwa anapiga kampeni maana kanajua kupiga vijembe na ndo kanagwa pochi.