tetesi nilizonazo ni kuwa Bwana vijisenti ameaafiki maamuzi ya CC CCM na kuwa ataachia ngazi zote ndani ya ccm na serikalini wiki ijayo......hususani Ubunge.....hili llitamwacha lowassa katika njia panda kwa sababu ataonekana ni pekee yake aliyekiuka maagizo ya cc kuhusiana na dhana nzima ya kujivua gamba...................................
nionavyo Bwana vijisenti kaamua kutii ili kulindwa asishitakiwe...........
logically hatutakiwi kushabikia watu kujivua magamba....hii yote ni danganya toto na ni sera madhubuti ya kulindana...great thinkers naomba tuwe makini katika hili suala...
Na uhalisia ndiyo huo watu wanajadili hisia za mtu.Mi nahisi hizi ni hisia za mwandishi wa hii thread maana hakuna uwiano wowote wa chanzo cha habari na mwandishi, tumaweza kujikuta tunapoteza nguvu nyingi kujadili hoja zisizokuwa na msingi wala mantiki eti tu kwa sababu hoja inavutia.
A friend of my enemy is my enemy too