Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
kamanda mbowe nimemkubali,dah ile si kisomo bali ni hekima na kipaji cha kuzaliwa.nimemsikiliza tangia mwanzo mpaka mwisho.lait mikoa yote ingekuwa kama Arusha,na akasema tunahitaji kuwa na makamanda lindi,mtwara,tanga,dodoma monduli na simanjiro.wanaenda kukata rufaa j4.all the best wawakilishi wa watz
waweza weka clip (audio/video) hapa?