jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Mshahara utapanda kila mtu atafurahi na kukubali kuwa CCM ni chama bora kuliko vyote TZ watumishi msisikilize porojo za hao mavuvuzela mwisho wa mwezi mtashangaa nyongeza mtakayoikuta
Huu ndio mwisho wako wa kufikiri mkuu??