sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Hii stori Ina ukweli ndani yake,yaani Waziri yoyote bajeti yake ikipita tu Bungeni, ufanya sherehe Sasa najiuliza nani anae staihli kufuraia kupitishwa Kwa bajeti Bungeni?
Ni Waziri na watumishi wa wizara au ni sisi WANANCHI tunao letewa huduma zitokanzo na mpitisho wa bajeti hizo?
Kama ni sisi basi tufuraie
Kam ni wao basi wafuraie.
Nini maoni Yako?
Ni Waziri na watumishi wa wizara au ni sisi WANANCHI tunao letewa huduma zitokanzo na mpitisho wa bajeti hizo?
Kama ni sisi basi tufuraie
Kam ni wao basi wafuraie.
Nini maoni Yako?