palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Naongea kwa uzoefu kama mfanyakazi. Hebu rejea bajeti ya mwaka jana (nanukuu: "43. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2010/2011 Serikali inatarajiakutumia shilingi trilioni 2.332 kugharamia malipo ya mishahara kwa watumishiwaliopo Serikali Kuu na Serikali za Mitaa, ajira mpya, upandishwaji vyeo na kulipiamadai ya malimbikizo na mapunjo ya mishahara ya watumishi. Kiasi hiki ni sawa naasilimia 38.84 ya Mapato ya Ndani. Aidha, kiasi hiki kimeongezeka kwa shilingibilioni 558 ambayo ni sawa na asilimia 31.5 ya fedha zilizotengwa kwa ajili hiyokatika mwaka wa fedha 2009/2010". mwisho wa kunukuu.
Mshahara uliongezeka kwa 31.5% kwa kima cha chini mwaka jana ingawa wenye kipato cha juu zaidi ilikuwa chini ya hiyo lakini haikupungua 25%. Fuatilia bajeti zilizopita utagundua hilo.
Naomba nikukuhakikishie Mnyakatari hapo juu kuwa kima cha chini kitapanda kwa 40%. Kadri mshahara unavyokuwa mkubwa na hiyo 40% inapungua lakini haiwezi kupungua zaidi ya 35%.
Mshahara uliongezeka kwa 31.5% kwa kima cha chini mwaka jana ingawa wenye kipato cha juu zaidi ilikuwa chini ya hiyo lakini haikupungua 25%. Fuatilia bajeti zilizopita utagundua hilo.
Naomba nikukuhakikishie Mnyakatari hapo juu kuwa kima cha chini kitapanda kwa 40%. Kadri mshahara unavyokuwa mkubwa na hiyo 40% inapungua lakini haiwezi kupungua zaidi ya 35%.