Dullo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2009
- 251
- 64
Kwa haya yanayoendelea huko Bungeni inadhihirisha kwamba hawa wenzetu wa CUF ni vibaraka wa CCM na sio wapinzani. Katika kinyang'anyiro cha uspika walisema kura zao zote zitakuwa kwa Marando lakini kwa hesabu za haraka tu inaonekana waliwapigia CCM na si vinginevyo. Ukija katika suala la kiongozi wa upinzani Bungeni wao wanampinga Mbowe wakati kwa mujibu wa sheria Chadema ndiyo wanatakiwa kuunda na kutoa Kiongozi wa upinzani lakini hawa wenzetu wa CUF wanapingana na sheria, hivi kweli hawa ni wenzetu?