Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
"Tuna asilimia 12.5 ya wabunge na hiyo inatupa nafasi ya kuunda kambi ya upinzani bungeni," alisema Mrema. Sasa swali sijui hawakujua kuwa asilimia 12.5 zao zingeweza kuwafanya washinde uspika? na hata wale CCM waliokuwa hawakufurahishwa na Anna Makinda kugombea waliona uroho wa chadema wa madaraka wakaona hawa wameshachuku KUB wakichukua na Uspika itakuwa balaa nadhani Chadema ni chama kinachoshabikia suala la uditekta wenye upeo wale ma great thinkers changieni bila unazi wa vyama.
what a crap!!!!!