Hapa mkuu umenena. Kwa nini kwenye serikali ya mseto hawajawaita CHADEMA? By the way, wabunge wote wa CUF toka pemba kiuwakilishi ni sawa na mbunge mmoja wa CHADEMA ie sawa na Sugu. Hivyo CHADEMA ina wabunge 23 na CUF ina wawili toka bara na mmoja toka Pemba.