Elections 2010 BUNGENI: Upinzani upo ndani ya kambi ya upinzani?

huyo chama huenda ni a graduated fool, GPA 1.8! critical reasoning 0! archaic thinking! mwacheni aendelee kulamba viatu vya mafisi-shume:doh:
 
Hapa mkuu umenena. Kwa nini kwenye serikali ya mseto hawajawaita CHADEMA? By the way, wabunge wote wa CUF toka pemba kiuwakilishi ni sawa na mbunge mmoja wa CHADEMA ie sawa na Sugu. Hivyo CHADEMA ina wabunge 23 na CUF ina wawili toka bara na mmoja toka Pemba.

Hapana Mkuu, Sugu yuko juu kachaguliwa na watu zaidi ya 46,000 na jimbo lake lina wapigakura zaidi ya 150, hao Wapemba wana wapiga kura wangapi!!!!
 
Back
Top Bottom