mwanza_kwetu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 693
- 181
nakubaliana na wewe; atumike then baadaye finally aje atupwe kama tambala
<br />nakubaliana na wewe; atumike then baadaye finally aje atupwe kama tambala
<br />Mkuu unaweka habari nusu nusu.... ameponda viongozi wa kisiasa hasa wa Chadema kwa udhalimu, na maslahi binafsi.Amesema yeye hatishwi na Kamati Kuu na amewaonya waandishi wa habari wanaobeba maslahi binafsi ndani ya Chama. Wakati anaongea wabunge wa CDM walionekana wanyonge sana
Nimemsikiliza sana Shibuda tena kwa makini sana. Hili ni jambo linaloweza kuletwa kwenye vikao ambavyo mimi ni mjumbe. No comment for the time being.