WOWOWO
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 590
- 430
Inashangaza watu wazima tunaanza kuumiza kichwa kwa ajili ya Shibuda.Yaani huyu ni 'Kichaa' wa kisiasa ambaye nadhani CDM ikianza kukimbizana naye nayo itaonekana imejengwa na 'Vichaa' wa kisiasa,
Ana madhara yapi hasa kwa chama? Maana hata anayoongea bungeni ni uchizi chizi ambao mtu yeyote makini atamchukulia hivyohivyo. Haeleweki nini anasimamia, he is totally confused and undefined. Na approach ya CDM kumpuuza ndiyo inazidi kumdidimiza zaidi. Sioni sababu ya kumkimbiza 'Chizi' huyu wa kisiasa unless kama wote tunataka tuwe 'machizi' wa kisiasa kama yeye,
Ana madhara yapi hasa kwa chama? Maana hata anayoongea bungeni ni uchizi chizi ambao mtu yeyote makini atamchukulia hivyohivyo. Haeleweki nini anasimamia, he is totally confused and undefined. Na approach ya CDM kumpuuza ndiyo inazidi kumdidimiza zaidi. Sioni sababu ya kumkimbiza 'Chizi' huyu wa kisiasa unless kama wote tunataka tuwe 'machizi' wa kisiasa kama yeye,