Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Ajiudhuru basi arudi huko Maswa (maana Maswa hawana redio TV WALA MAGAZETI) ili wamchague tena, CDM tumeisha choka nae.Alionekana Arusha kipindi cha madiwani akimwaga upupu aliwadanganya wenzake sasa yamewatokea puani!! Anatukana mamba kabla ya kuvuka mto, shauri yake!!!!!!!!!!!shibuda kashinda maswa kwa nguvu zake chadema kama chama imepelekwa na shibuda hata akitoka leo cdm aende TLP, NCCR, CUF au arudi CCM, atashinda tu. ndio maana ana jeuri.