TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Naangalia kikao cha bunge leo jioni,ni zamu ya waziri Maige,anablem kamati ya mazingira na maliasili chini ya Mh Lembeli na kumwonya kuwa amwogope Mungu.HII IMEKAAJE? Source:tbc1
Ndio maana kila mtu anautaka uwaziri. Kuna watu tayari wapo Handeni na Pangani baada ya hizo tetesi za mawaziri kujiuzulu.
Wizara yake ina madudu kibao ,lakini dakika kumi alizopewa na spika anazitumia kujitetea eti hakuwepo mara hakuulizwa sasa kama hukuwepo ulikuwa wapi , ina maana hujui kuwa kuna kamati .anamuomba mh Lukuvi amsaidie aende akajiandae vizuri..kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo
eti ripoti ina kurasa 60 zimezungumzia wizara yake...blah blah..
Wizara yake ina madudu kibao ,lakini dakika kumi alizopewa na spika anazitumia kujitetea eti hakuwepo mara hakuulizwa sasa kama hukuwepo ulikuwa wapi , ina maana hujui kuwa kuna kamati .anamuomba mh Lukuvi amsaidie aende akajiandae vizuri..kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo
eti ripoti ina kurasa 60 zimezungumzia wizara yake...blah blah..
bi kiroboto amenichanganya aliposema waandike barua kwa waziri mkuu. ni yupi huyo waziri mkuu, mpya au huyu tunayerubuniwa eti ni mtoto wa mkulima?
kosa lingine. unajuwa kamati inakuja, unakuwa haupo.why? au anafikiri kamati ya kudumu ya bunge ni kamati ya harusi?
Nchii hii kila mtu analalamika kuzungukwa! Tuko kwenye mbuyu kila mtu anamzunguka mwenzake.
maiige yupo smart but hao wanaomsaidia kazi ni wezi watupuuuuuuuuuuh