Bungeni: Ni zamu ya Waziri Maige

anataka hoja iarishwe sababu yeye vikao vingi hakushirikishwa vya kamati ya bunge kama waziri. Yaani ni kama kamati ilikua inamzunguka.
 
anadai eti wanaolalamika waende mahakamani badala ya kwenda bungeni ..ni kuhusu vitalu
 
anataka hoja iarishwe sababu yeye vikao vingi hakushirikishwa vya kamati ya bunge kama waziri. Yaani ni kama kamati ilikua inamzunguka.
Nchii hii kila mtu analalamika kuzungukwa! Tuko kwenye mbuyu kila mtu anamzunguka mwenzake.
 
nasikia kanunua nyumba oysterbay ya usd 1.2 million, na kila jioni akienda kulewa huku mikocheni anatoka na x6 bmw mpya, kijana hana hata miaka 35, takukuru na huyu awashindwe
 
uk wa 34 wa taarifa ya Lembeli ..aa madudu kibao watanzania tunadharaulika kweli ..sina nguvu ya kuendelea kuripoti hapa
 
ama kweli uwazili mtamu jamaa anapangua hoja kwa nguvu zote na kuishushia tuhuma kamati ya bunge.kazi ipo.
 
Maige kachanganyikiwa wakuu, hajui hata analoongea, eti taarifa imewasilishwa ghafla, ndio kwanza ameipata leo, hakuhusiswa ipasavyo kwenye mahojiano..... Hivyo anadai hajajiaandaa vema kujibu hoja.

Bibi kiroboto anasema kamati zake zimefanya kazi ipasavyo.
 
Maige anajitetea sana,anatafuta sympathy ya wabunge. ama kweli maji yako shingoni!! naona maige anatia huruma.
 
anaonekana anautaka huu uwaziri kwa udi na uvumba.
Yaani anavyojitetea anaonekana wazi kuwa anajaribu kutufikishia ujumbe kuwa anaonewa.
Anajaribu kumtumtumbukiza mpaka Mungu...
Mwisho kasema hajui itaamuliwa vp lakini tungoje itakavyokuwa...
 
Huo mpango ndio hana kabisa. Kweli WAZIRI MTOTO AMEKAMATIKA! teh! teh! Spika Semamba kamkaanga!
 
Kamati ya Bunge ilishiriki kugawa vitalu! Hapo ndipo penye tatizo. Bunge linashiriki katika utendaji. Waziri amemaliza kwa kuomba hisani ya kujadili taarifa kwenye kikao kijacho
 
hahhaha bibi kidude kammaliza huyu jamaa ..kamwambia kuwa taarifa zote zilikuwepo na kamati ndio inavyofanya kazi hiyo usilalamike lalamike hapa
 
Back
Top Bottom