Bungeni: Ni zamu ya Waziri Maige

Maige: si kweli kwamba kuna kampuni zilizopewa vibali bila kuomba

spika: kamwambie maige aka jibu taarifa kimaandishi, na kamati ilifanya kazi yake inavyotakiwa
 
Analalamika kwamba hakushrkishwa kwenye uchunguz wa kamati. Alitaka aitwe, aulizwe. Ahojiwe. Hivi mfumo wa kuchunguza unatakiwa uwe mmoja kila leo?
 
nasikia kanunua nyumba oysterbay ya usd 1.2 million, na kila jioni akienda kulewa huku mikocheni anatoka na x6 bmw mpya, kijana hana hata miaka 35, takukuru na huyu awashindwe
Ndio maana kila mtu anautaka uwaziri. Kuna watu tayari wapo Handeni na Pangani baada ya hizo tetesi za mawaziri kujiuzulu.
 
jamaa wanauza wanyama kwa waarabu. sasa wanyama wetu wakiisha waarabu si watakuja kutunaniliu?
wanyama wakiisha itabidi wauze masaburi yao sasa...kwa nini kila siku wanauza wanyama kwa waarabu? eti hadi kobe wameuzwa eti ..
 
Huo mpango ndio hana kabisa. Kweli WAZIRI MTOTO AMEKAMATIKA! teh! teh! Spika Semamba kamkaanga!

bi kiroboto amenichanganya aliposema waandike barua kwa waziri mkuu. ni yupi huyo waziri mkuu, mpya au huyu tunayerubuniwa eti ni mtoto wa mkulima?
 
makinda anamshushua kwamba kamati inauwezo wa kufanya kazi mazingira yoyote ambayo itaona inafaa hiyo waziri majibu yake hayatoshi ajiandae kikao kijacho.maige huyo.
 
Maige kachanganyikiwa wakuu, hajui hata analoongea, eti taarifa imewasilishwa ghafla, ndio kwanza ameipata leo, hakuhusiswa ipasavyo kwenye mahojiano..... Hivyo anadai hajajiaandaa vema kujibu hoja.

Bibi kiroboto anasema kamati zake zimefanya kazi ipasavyo.
kwanza wakati inasomwa yeye hakuwepo huyu hata wabunge walilalamika leo
 
Ukisikiliza mawaziri wengi wanaonekana kujitetea kwamba hawakushirikiwa kikamilifu wakati kamati zinafanya uchunguzi! Lakini msingi wa yote haya (kwa maoni yangu) ni kwamba mawaziri wengi hawajui au hawataki kujua nini kinaendelea kwenye wizara zao zaidi ya kusimamia 'interest zao'.

Kwangu mimi, kitendo tu cha waziri kutojua madudu ya wizara yake kinatosha kabisa kumuondoa huyo waziri. Period.
 
ameshasema anaachia waamue .. it means amekubali makosa
 
Back
Top Bottom