Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Hivi bungeni hakuna viyoyozi manake nimemuona rafiki yangu maige akifuta jasho!Maige haponi
Hivi bungeni hakuna viyoyozi manake nimemuona rafiki yangu maige akifuta jasho!Maige haponi
wa kwanza pinda. Nahisi pinda mwenyewe amekata tamaa na upmMaige haponi
Janga lingine la Taifa hilo.Uozo wa hii wizara ulianzia mbali sana!
Mungu wangu,hiyo si ni namba ya mpinga Kristo???????Rep Power : 1530
Likes Received666
Likes Given574
Hivi bungeni hakuna viyoyozi manake nimemuona rafiki yangu maige akifuta jasho!
Mungu wangu,hiyo si ni namba ya mpinga Kristo???????
HIVI jamani hii imekaaje? inakuwaje mwekezaji akodi shamba -ekari kwa Tsh.280/-? sisi ni vichaa au vipi maana hata kule kijijini kukodi shamba ni zaidi ya Tsh 10,000/-, eti viongozi wetu wakodisha ardhi kwa 280/- tumerogwa na nani jamani au ndio kusema tukiona ngozi mzungu tunapata kiwewe ktk kutoa maamuzi? nauliza
HIVI jamani hii imekaaje? inakuwaje mwekezaji akodi shamba -ekari kwa Tsh.280/-? sisi ni vichaa au vipi maana hata kule kijijini kukodi shamba ni zaidi ya Tsh 10,000/-, eti viongozi wetu wakodisha ardhi kwa 280/- tumerogwa na nani jamani au ndio kusema tukiona ngozi mzungu tunapata kiwewe ktk kutoa maamuzi? nauliza
Mungu wangu,hiyo si ni namba ya mpinga Kristo???????
Waziri wa MAliasili na utalii.Waziri wa ardhi maliasili na utalii: waziri anasema hoja ihairishwe, hakuwa na taarifa, wizara haikushikirikishwa kwenye uchunguzi wa uliofanywa na kamati