Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
Ccm wanatamani sana Lissu angekosa dhamana!
Ha ha ha ha ha,Kaka nikurekebishe kidogo,Tundu Lissu mmoja ni sawa na Magamba 350,Kaka hawa magamba VILAZA!!!!!Tundu Lisu mmoja ni magamba 200 haya ni maneno ya JK mwenyewe. Nadhani ukweli umekuwa wazi
natofautiana na wewe, ukisema lisu ni sawa na magamba 200 unakuwa unamtukana Lisu mkuu sababu kimahesabu wapuuzi 200 kamwe hawawezi kuunda mwerevu mmoja.lqTundu Lisu mmoja ni magamba 200 haya ni maneno ya JK mwenyewe. Nadhani ukweli umekuwa wazi
LISSU: Despite Technical Knockout youve smacked the Bull
Asubuhi nimetuma waraka wangu kwa wabunge wa CDM kuhusu mwenendo mzima wa uchangiaji Bungeni, kwa mshangao mkubwa nilihofia kwa namna ambayo ilionekana kama kukosa maarifa ya kuutanzua huu mtego wa offside trick wa CCM
Kwa mchango wa muda mfupi uliopita Mh. Mnadhimu Mkuu Tundu Lisuu umebreak deadlock, despite kuzongwa na Muda lakini ujumbe uleule wa mauaji na udhalilishaji wa Jeshi la Polisi uliogonga mwamba jana wakati wa maswali ya papo kwa papo ya Waziri Mkuu, umefika kwa more organized na systematic way.
Sina Shaka hii application itatumiwa na wapiganaji wengine kuendelea kutetea kilio cha Watanzania walio wengi.
Aluta Continua