kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Nao wameshikwa na ganzi ya mbowe, wanashindwa kuandika.Ha ha haa Malaria Sugu upo! Wapi Faiza Foxy
Nao wameshikwa na ganzi ya mbowe, wanashindwa kuandika.Ha ha haa Malaria Sugu upo! Wapi Faiza Foxy
basi yaishe mkuu, sote tu askari wa kupambana na adui, tusimpe adui nafasi. nimekuelewa.
Huo ndio uungwana. Tunapingana kisha tunashikana mikono siyo kushikania mapanga. Tupo jahazi moja likitoboka tuanzama wote na najua hujui kuogelea kwa kuwa unatoka nkuhungu!!! teh teh
Nimesikiliza aliyosema mbowe,nakiri kwamba wafanyakazi wote tuliongazi ya chini na wananchi kwa ujumla tunatakiwa kulikemea hili,Posho ni malipo yanayo nynyasa nafasi za watu,taaluma za watu,na kujenga matabaka ya wale wanaosema naweza ni kala na nikavaa au nikafanya kitu chochote wakati wowote kwa sababu ninazo ngawila,Posho inavunja ari ya wafanyakazi,inaongeza msongo wa akili,inaongeza zinaa na dhuluma,lazima kuwe namaamuzi magumu,zifutwee tena hatua hiyo isingoje iwe sasa,Wabunge kutoka chama cha magamba lazima hili walione kwamba ni Posho ni Janga la kitaifa na lazima tiba yake ipatikane sasa na sio kesho
Hili la posho ni janga na kwa sisi tulio huku ngazi za kijiji, kata na halmashauri tunaona kila siku kazi za maendeleo zinavyokwamishwa na kitu posho. Mkurugenzi au DC anaalikwa kwenye jambo nyeti la wilaya anakacha anaenda kwenye semina ya kikundi ili mradi kuna posho.
Ningekuwa najua jinsi ya kuattach hapa jamvini ningewapa maandiko ya siku za nyuma kuhusu kansa ya posho- help plz!!
Mboooooooooooooooooooooooweeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!BIG UP KWAKUWATOLEA UVIVU HAO WALAFI WA HELA ZA UMMA KWA STAREHE ZAO