Unajua Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida?

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
9,159
33,397
Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida, amini nakuambia.

Huyu mwamba amezaliwa kwenye familia ya kitajiri, Baba yake alikua ni tahiti na alimwezesha Mwlm Nyerere kifedha kwenda NY Marekani kudai uhuru. Hakukulia kwenye Manisha ya shida, Amezaliwa ama amekulia katikati ya jiji la Dar es salaam, Sea view Upanga.

Pamoja na utajiri wao mwingine lakini ndio waliokua wamiliki wa Mbowe hotel na baadae club bilicanas, club iliyokua maarufu sana hapa jiji Kabla ya kubomolewa na mwendazake.

Kwa kifupi Mbowe ni tahiti Hadi leo. Mbowe ndie mwenyekiti wa Chadema alieijenga chadema kwa jasho na damu binafsi. Amepitia mateso, machungu na magumu Sana katika kuijenga chadema kuliko mwanasiasa yoyote wa Tanzania kuliko hata mwalimu Nyerere alivyokua akidai uhuru wa Tanganyika.

  • Mbowe amebomolewa club bilicanas,
  • Ameharibiwa mashamba yake ya mbogamboga,
  • Alinusurika kupigwa risasi siku ya Akwilina,
  • Alipigwa na watu wasiojulikana akiwa Dodoma.

Alishuhudia tukio baya kabisa la kushambulia kwa mbunge na mwanachama wa chama anachokiongoza, Mbunge Lissu,
Wanachama machachari na mabwege aliowatafuta na kuwafanya wakapata majina makubwa nchini walimsaliti na wakaondoka huku wakimkashifu,lakini hakuwajibu kitu, Aliwakaribisha kiungwana baadhi ya wanasiasa kuja chadema na kupata haki sawa lakini baadae wakarudi waalikotoka huku wakimtukana. Hawa wote Mbowe hakujibizana nao.

Mbowe kila alipopata nafasi ya kuongea na taifa hakusita kuomba maridhiano ya kitaifa. Mwenyekiti wa CCM taifa na Rais Marehemu Magufuli katika sherehe za uhuru huko CCM Kirumba Mwanza alipompa Mbowe nafasi ya kusema machache, Mbowe aliomba Maridhiano ya kitaifa.

Mbowe leo hii Yuko ndani kwa kesi ya Ugaidi lakini sio mara ya kwanza kuwekwa ndani, Mbowe aliwekwa ndani miezi Bila kufikishwa mahakama na mara nyingine aliwekwa yeye na viongozi wenzake wa Chadema. Mbowe na wenzake walitoka kwa kulipiwa faini iliyochangishwa nchi mzima na wananchi wenye mapenzi mema.

Unaweza kukuuliza Kwa nini Mbowe amekubali kumpigia haya wakati hana shida yoyote, ni tajiri kama kama majajiri wengine walioamua kujiegemeza CCM ili wapate Kinga za utajiri wao?

Lowoasa alihamia chadema akatikiswa kidogo tu akarejea CCM, Halikadharika Sumaye, Nyalandu na wengi kama hao.
Tazama wabunge wa Ndugai akina Mdee, kuona tu hawatakua wabunge wote wakatimkia Bungeni kinyume na Sheria I'll wapate posho.

Mbowe ni Mzalendo wa kweli, ni mtaka mabadiliko wa kweli ni mpenda haki wa kweli.Mbowe hayupo kwenye siasa kwa sababu ya njaa,Mbowe kweli ni mtetezi wa wanyonge na ndio kazi ya chadema na chama makini cha siasa. Mbowe kwa sasa anashitakiwa kwq kosa la hatari na kubwa Sana kosa la Ugaidi. Angekua mtu mwingine angeshanyoosha mikono na kurudi kufanya biashara. Siku zote ukimuona Mtu huyu huonesha sura ya Tanasamu hata akiwa mahakama. Sikuwahi kujua kama Mbowe ana kaka Mwanajeshi, tena Major General wa JWTZ Marehemu. Ukisikia kuna watu wakweli Dunia I Mbowe ni mmoja wao.

Mbowe alaiondokewa na wanasiasa mahili kama Zito, Slaa, Mwigamba, Arfi, Mashinji, Mdee, Bulaya, Shonza, Safari, Katambi, Mwambe, kutoka na wengine wengi, lakini Mbowe hajateteleka na Chadema Bado inapendwa.

Pamoja na jitihada zote za kumtoa Mbowe kwenye mstari na ndani ya misimamo yake, jitihada za kutaka kuiua chadema lakini chadema bado ni tishio kubwa Sana na Bado inaaminika na wananchi wengi Sana.

Chadema imeimarika zaidi na Mbowe amekuwa imara zaidi kuliko wakati wowote ule.

Mbowe hana shida za kiuchumi lakini anapigania haki za kisiasa katika Taifa hilo.
Kumbuka siasa ndio kila kitu.

Unapozungumzua siasa unazungumzia bei za umeme, maji, cementi, mafuta,chakula, elimu,usalama, katiba, amani, haki, furaha, sayasi, imani, utamaduni, mali biashara na Kila kitu, kwani vitu hivyo hupangwa na kuamuliawa na wanasiasa.

Mbowe anakosa nini?
Mbowe sio Gaidi.
 
Yesu mwenyewe mwana wa Mungu alikuwa hana kosa wakamsulubisha. Kwa sababu watu hawamwogopi Mungu ndiyo maana haya yote yanampata mwanadamu mwenye haki. Lakini tungemwopgopa Mungu kuna mengi tusingewafanyia ndugu zetu. Tuache tu hivyo na Mungu akishusha hukumu yake sijui tutakimbilia wapi kuficha uso kwa yale maovu tunayowatendea wengine.
 
Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida,amini nakuambia.

Huyu mwamba amezaliwa kwenye familia ya kitajiri,

Baba yake alikua ni tahiti na alimwezesha Mwlm Nyerere kifedha kwenda NY Marekani kudai uhuru.

Hakukulia kwenye Manisha ya shida,

Amezaliwa ama amekulia katikati ya jiji la Dar es salaam,Sea view Upanga.

Pamoja na utajiri wao mwingine lakini ndio waliokua wamiliki wa Mbowe hotel na baadae club bilicanas,club iliyokua maarufu Sana hapa jiji Kabla ya kubomolewa na mwendazake.

Kwa kifupi Mbowe ni tahiti Hadi leo.

Mbowe ndie mwenyekiti wa Chadema alieijenga chadema kwa jasho na damu binafsi.

Amepitia mateso,machungu na magumu Sana katika kuijenga chadema kuliko mwanasiasa yoyote wa Tanzania kuliko hata mwalimu Nyerere alivyokua akidai uhuru wa Tanganyika.

Mbowe amebomolewa club bilicanas,
Ameharibiwa mashamba yake ya mbogamboga,
Alinusurika kupiga risasi siku ya Akwilina,
Alipigwa na watu wasiojulikana akiwa Dodoma.
Alishuhudia tukio baya kabisa la kushambulia kwa mbunge na mwanachama wa chama anachokiongoza,Mbunge Lissu,
Wanachama machachari na mabwege aliowatafuta na kuwafanya wakapata majina makubwa nchini walimsaliti na wakaondoka huku wakimkashifu,lakini hakuwajibu kitu,
Aliwakaribisha kiungwana baadhi ya wanasiasa kuja chadema na kupata haki sawa lakini baadae wakarudi waalikotoka huku wakimtukana.
Hawa wote Mbowe hakujibizana nao.

Mbowe Kila alipopata nafasi ya kuongea na taifa hakusita kuomba maridhiano ya kitaifa.
Mwenyekiti wa CCM taifa na Raid Marehemu Magufuli katika sherehe za uhuru huko CCM kirumba Mwanza alipompa Mbowe nafasi ya kusema machache,Mbowe aliomba Maridhiano ya kitaifa.

Mbowe leo hii Yuko ndani kwa kesi ya Ugaidi lakini sio mara ya kwanza kuqekwa ndani,Mbowe aliwekwa ndani miezi Mungu Bila kufukishwa mahakama na mara nyingine aliwekwa yeye na viongozi wenzake wa Chadema.Mbowe na wenzake walitoka kwa kulipiwa faini iliyochangishwa nchi mzima na wananchi wenye mapenzi mema.

Unaweza kukuuliza Kwa nini Mbowe amekubali kumpigia haya wakati hana shida yoyote,ni tajiri kama kama majajiri wengine walioamua kujiegemeza CCM ili wapate Kinga za utajiri wao?

Lowoasa alihamia chadema akatikiswa kidogo tu akarejea CCM,
Halikadharika Sumaye,Nyalandu na wengi kama hao.
Tazama wabunge wa ndugai akina Mdee,kuona tu hawatakua wabunge wote wakatimkia Bungeni kinyume na Sheria I'll wapate posho.

Mbowe ni Mzalendo wa kweli,ni mtaka mabadiliko wa kweli ni mpenda haki wa kweli.Mbowe hayupo kwenye siasa kwa sababu ya njaa,Mbowe kweli ni mtetezi wa wanyonge na ndio kazi ya chadema na chama makini cha siasa.
Mbowe kwa sasa anashitakiwa kwq kosa la hatari na kubwa Sana kosa la Ugaidi.
Angekua mtu mwingine angeshanyoosha mikono na kurudi kufanya biashara.
Siku zote ukimuona Mtu huyu huonesha sura ya Tanasamu hata akiwa mahakama .
Sikuwahi kujua kama Mbowe ana kaka Mwanajeshi,tena Major General wa JWTZ Marehemu.

Ukisikia kuna watu wakweli Dunia I Mbowe ni mmoja wao.

Mbowe alaiondokewa na wanasiasa mahili kama Zito,Slaa,Mwigamba,Arfi,Mashinji,Mdee,Bulaya,Shonza,Safari,Katambi,Mwambe,kutoka na wengine wengi,lakini Mbowe hajateteleka na Chadema Bado inapendwa.

Pamoja na jitihada zote za kumtoa Mbowe kwenye mstari na ndani ya misimamo yake,jitihada za kutaka kuiua chadema lakini chadema bado ni tishio kubwa Sana na Bado inaaminika na wananchi wengi Sana.

Chadema imeimarika zaidi na Mbowe amekuwa imara zaidi kuliko wakati wowote ule.

Mbowe hana shida za kiuchumi lakini anapigania haki za kisiasa katika Taifa hilo.
Kumbuka siasa ndio kila kitu.
Unapozungumzua siasa unazungumzia bei za umeme,maji,cementi,mafuta,chakula,elimu,usalama,katiba,amani,haki,furaha,sayasi,imani,utamaduni,mali,biashara na Kila kitu,kwani vitu hivyo hupangwa na kuamuliawa na wanasiasa.

Mbowe anakosa nini?
Mbowe sio Gaidi.


Unajua watu wengi wanafikiri pesa ni kila kitu na hawa wengi wametokea familia za kimasikini. Na ndiyo maana walifikiri wakifungulia account zake ataacha maandamano ya katiba? Kumbe pesa anajua anaweza kupata kwa njia nyingine nasikia ametoka pale akaenda Dubai na Kenya kufungua kampuni nyingine na zinaenda vizuri bila hata kuwa na pesa bali connection za bank ya business plan nzuri. Pesa sio kila kitu na watu waliokulia kwenye pesa wanaelewa hilo.
 
Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida,amini nakuambia.

Huyu mwamba amezaliwa kwenye familia ya kitajiri,

Baba yake alikua ni tahiti na alimwezesha Mwlm Nyerere kifedha kwenda NY Marekani kudai uhuru.

Hakukulia kwenye Manisha ya shida,

Amezaliwa ama amekulia katikati ya jiji la Dar es salaam,Sea view Upanga.

Pamoja na utajiri wao mwingine lakini ndio waliokua wamiliki wa Mbowe hotel na baadae club bilicanas,club iliyokua maarufu Sana hapa jiji Kabla ya kubomolewa na mwendazake.

Kwa kifupi Mbowe ni tahiti Hadi leo.

Mbowe ndie mwenyekiti wa Chadema alieijenga chadema kwa jasho na damu binafsi.

Amepitia mateso,machungu na magumu Sana katika kuijenga chadema kuliko mwanasiasa yoyote wa Tanzania kuliko hata mwalimu Nyerere alivyokua akidai uhuru wa Tanganyika.

Mbowe amebomolewa club bilicanas,
Ameharibiwa mashamba yake ya mbogamboga,
Alinusurika kupiga risasi siku ya Akwilina,
Alipigwa na watu wasiojulikana akiwa Dodoma.
Alishuhudia tukio baya kabisa la kushambulia kwa mbunge na mwanachama wa chama anachokiongoza,Mbunge Lissu,
Wanachama machachari na mabwege aliowatafuta na kuwafanya wakapata majina makubwa nchini walimsaliti na wakaondoka huku wakimkashifu,lakini hakuwajibu kitu,
Aliwakaribisha kiungwana baadhi ya wanasiasa kuja chadema na kupata haki sawa lakini baadae wakarudi waalikotoka huku wakimtukana.
Hawa wote Mbowe hakujibizana nao.

Mbowe Kila alipopata nafasi ya kuongea na taifa hakusita kuomba maridhiano ya kitaifa.
Mwenyekiti wa CCM taifa na Raid Marehemu Magufuli katika sherehe za uhuru huko CCM kirumba Mwanza alipompa Mbowe nafasi ya kusema machache,Mbowe aliomba Maridhiano ya kitaifa.

Mbowe leo hii Yuko ndani kwa kesi ya Ugaidi lakini sio mara ya kwanza kuqekwa ndani,Mbowe aliwekwa ndani miezi Mungu Bila kufukishwa mahakama na mara nyingine aliwekwa yeye na viongozi wenzake wa Chadema.Mbowe na wenzake walitoka kwa kulipiwa faini iliyochangishwa nchi mzima na wananchi wenye mapenzi mema.

Unaweza kukuuliza Kwa nini Mbowe amekubali kumpigia haya wakati hana shida yoyote,ni tajiri kama kama majajiri wengine walioamua kujiegemeza CCM ili wapate Kinga za utajiri wao?

Lowoasa alihamia chadema akatikiswa kidogo tu akarejea CCM,
Halikadharika Sumaye,Nyalandu na wengi kama hao.
Tazama wabunge wa ndugai akina Mdee,kuona tu hawatakua wabunge wote wakatimkia Bungeni kinyume na Sheria I'll wapate posho.

Mbowe ni Mzalendo wa kweli,ni mtaka mabadiliko wa kweli ni mpenda haki wa kweli.Mbowe hayupo kwenye siasa kwa sababu ya njaa,Mbowe kweli ni mtetezi wa wanyonge na ndio kazi ya chadema na chama makini cha siasa.
Mbowe kwa sasa anashitakiwa kwq kosa la hatari na kubwa Sana kosa la Ugaidi.
Angekua mtu mwingine angeshanyoosha mikono na kurudi kufanya biashara.
Siku zote ukimuona Mtu huyu huonesha sura ya Tanasamu hata akiwa mahakama .
Sikuwahi kujua kama Mbowe ana kaka Mwanajeshi,tena Major General wa JWTZ Marehemu.

Ukisikia kuna watu wakweli Dunia I Mbowe ni mmoja wao.

Mbowe alaiondokewa na wanasiasa mahili kama Zito,Slaa,Mwigamba,Arfi,Mashinji,Mdee,Bulaya,Shonza,Safari,Katambi,Mwambe,kutoka na wengine wengi,lakini Mbowe hajateteleka na Chadema Bado inapendwa.

Pamoja na jitihada zote za kumtoa Mbowe kwenye mstari na ndani ya misimamo yake,jitihada za kutaka kuiua chadema lakini chadema bado ni tishio kubwa Sana na Bado inaaminika na wananchi wengi Sana.

Chadema imeimarika zaidi na Mbowe amekuwa imara zaidi kuliko wakati wowote ule.

Mbowe hana shida za kiuchumi lakini anapigania haki za kisiasa katika Taifa hilo.
Kumbuka siasa ndio kila kitu.
Unapozungumzua siasa unazungumzia bei za umeme,maji,cementi,mafuta,chakula,elimu,usalama,katiba,amani,haki,furaha,sayasi,imani,utamaduni,mali,biashara na Kila kitu,kwani vitu hivyo hupangwa na kuamuliawa na wanasiasa.

Mbowe anakosa nini?
Mbowe sio Gaidi.
Uzi wa kweli kabisa kumhusu mbowe long live legendary MBOWE
 
Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".

Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.

Duniani tunaishi kwa win- win situation. Kama Samia amefuta kesi za kubambikiza, Mahakama zimeanza kutenda haki, akaunti za Mbowe zimefunguliwa, uhuru wa maoni umeruhisiwa na hatua za kudhibiti COVID-19 zimeanza kuchukuliwa, hiyo ni WIN kwa CDM. Nilitegemea naye Rais SSH WIN yake iwe kusikilizwa aliposema nataka nijenge uchumi kwanza.

On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA??

Mpaka unajiuliza nini kimewapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.

Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia. Shenz taipu Bladifakeni Mbowe
 
Mwamba Tuvushe

KAMANDA_WOTE_MASHUJAA%2C_WAPENDA_HAKI%2C_WAFIA_CHAMA__tukutane_KIsutu_leo_mapema_kwenye_kesi_y...jpg
%E2%9C%8C%EF%B8%8F%E2%9C%8C%EF%B8%8F%E2%9C%8C%EF%B8%8F.jpg
FB_IMG_1589397986327.jpg
 
Chief Hangaya anadai Mbowe alikwenda Nairobi kujificha wakati alikuwa bongo hapa hapa anazindua CHADEMA DIGITAL, Nimemdharau sana huyu bibi anayevaa maushungi kujifanya ni mchamungu wakati ni muuaji mkubwa.
Mkuu, Hangaya hana chujio yeye akiletewa kimemo husoma ilivyo. Kuna kakikundi kadogo cha masalia wa mwendazake wanacheza na akili yake.
 
Back
Top Bottom