Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 456
Pitia sredi nyingine "mbowe kafunga bunge"!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa ni kichwa sana!Huwez amin kwa mara ya kwanza leo ameongea mpinzani ukumbi mzima ulikua kimyaaa!. Hadi niliona kama muda wamempa mchache vile? Maana mpaka ye mwenyewe akatingisha kichwa alipoambiwa muda umekwisha.
crapppppppMbowe safi sana. Kwa maneno tu CHADEMA ipo juu. Suala utekelezaji sasa!!! Hivi KUB- Mbowe amepewa aina gani ya gari na serikali? Akiwa shujaa aliache achukuwe RAV4. Mbowe na wabunge wengine wa CHADEMA waungane na Zitto waache kupokea posho. Huo utakuwa ushujaa lakini ushujaa wa maneno mimi siutaki. Shujaa ni Zitto tu hapo ndio ananena na kutenda.
Mimi bado naamini kuwa posho za vikao siyo stahili halali lakini sasa tuzikatae kwa vitendo. Mimi kuanzia sasa hivi sitaki na sichukui posho za vikao naungana na Mh. Zitto kwa maneno na kwa vitendo. Mbowe na wengine naomba tuungane kwa maneno na kwa vitendo pia.
Nimemsikiliza Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe. Kwa kweli alichokiongea naweza Kusema Amefunga Bunge la kumi (10), bila shaka kuna watu machozi yamewatoka. Ni Misumari ya Moto mwenye Macho haambiwi Tazama
kuhusu huyo mbunge ni kweli mimi mwenyewe nimesha mtengenezea computer zake kulipa shida ni kweli wanakuwa na hali mbaya sana hata ofisini kwake ukiingia jamani ukiambiwa alikuwa mbunge uwezi kuaminiAliyekuwa waziri kwenye serikali ya Mkapa, Kilontsi Mpologomi, nimemkuta anakopa spare za kufunga kwenye gari lake pale mtaa wa Libya, baada ya kuondoka yule mwenye duka akawa analalamika sana kwamba huyu bwana anapenda kukopa halafu kulipa kwa mbinde, kumbe walishazoea vya dezo serikalini.Na hiyo ndio siri ya wastaafu wengi kufa mapema mara baada ya kustaafu. Haya maisha ya kitaa watuachie wenyewe wabishi wa mjini.
Huyu jamaa ana uchungu wa kweli na watanzania kwa sababu yeye hagangi njaa pale bungeni . Nimemsikiliza vizuri na bunge zima lilikaa kimya kwani alishusha pointi zenye mguso wa kweli na sio ushabiki wa kisiasa na nilimwona wassira, Vuai, Nundu na Ngeleja wakimeza mate kusema naaam huku wakielekeza vichwa chini kwa aibu.
Nilifurahi aliposema viongozi wengi wa serikali wanatumia fedha nyingi wanapokuwa ktk ofisi za umma kitu ambacho hakuna anayeweza kufanya akisha staafu. kwa mfano akauliza key issue hizi:
1. Je ni nani hapa akiisha staafu anaweza safiri na first class au business class kwenda nje ya nchi na kusema wengine hata kupanda ndege baada ya kustaafu ni shida ila wako tayari ku-mis use fedha za umma akiwa ofisini.
2. Ni nani anaweza nunua landcruiser mpya baada ya kuacha kazi ofisi ya umma
Huyu jamaa ni kichwa sana!
crappppppp
Kama Arcado Ntagazwa, ana ki Mark II chake kimechokaaaaaa! Anapiga mizinga hadi petrolAliyekuwa waziri kwenye serikali ya Mkapa, Kilontsi Mpologomi, nimemkuta anakopa spare za kufunga kwenye gari lake pale mtaa wa Libya, baada ya kuondoka yule mwenye duka akawa analalamika sana kwamba huyu bwana anapenda kukopa halafu kulipa kwa mbinde, kumbe walishazoea vya dezo serikalini.Na hiyo ndio siri ya wastaafu wengi kufa mapema mara baada ya kustaafu. Haya maisha ya kitaa watuachie wenyewe wabishi wa mjini.
nimekusoma kaka.aksante sana mwenyekiti wangu freeman aikaeli mbowe!!
People resembles their names....
You are the freeman and you will set tanzanians free!!
Mbowe ni mzalendo halisi wa nchi yetu, nimemsikia akisema pia viongozi wa umma wanatumia nafasi zao vibaya, wanasafiri na Business class au special,tembelea land cruiser, kulipana posho za mamilioni, semina kila wakati kuhusu kuepuka ugonjwa wa ukimwi n.k...............
hoja ya msingi si kususia posho, hoja ya msingi ni kubadili mfumo wa ulipaji wa posho.Mbowe safi sana. Kwa maneno tu CHADEMA ipo juu. Suala utekelezaji sasa!!! Hivi KUB- Mbowe amepewa aina gani ya gari na serikali? Akiwa shujaa aliache achukuwe RAV4. Mbowe na wabunge wengine wa CHADEMA waungane na Zitto waache kupokea posho. Huo utakuwa ushujaa lakini ushujaa wa maneno mimi siutaki. Shujaa ni Zitto tu hapo ndio ananena na kutenda. Mimi bado naamini kuwa posho za vikao siyo stahili halali lakini sasa tuzikatae kwa vitendo. Mimi kuanzia sasa hivi sitaki na sichukui posho za vikao naungana na Mh. Zitto kwa maneno na kwa vitendo. Mbowe na wengine naomba tuungane kwa maneno na kwa vitendo pia.
Aliyekuwa waziri kwenye serikali ya Mkapa, Kilontsi Mpologomi, nimemkuta anakopa spare za kufunga kwenye gari lake pale mtaa wa Libya, baada ya kuondoka yule mwenye duka akawa analalamika sana kwamba huyu bwana anapenda kukopa halafu kulipa kwa mbinde, kumbe walishazoea vya dezo serikalini.
Na hiyo ndio siri ya wastaafu wengi kufa mapema mara baada ya kustaafu. Haya maisha ya kitaa watuachie wenyewe wabishi wa mjini.
hoja ya msingi si kususia posho, hoja ya msingi ni kubadili mfumo wa ulipaji wa posho.