Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Nchi hii.
1. Viongozi wana safiri business class kwenda nje ya nchi huku wanao tupa misada wakipanda econimic class
2. Posho inabidi wabunge wachukue uamuzi mgumu sana
3. Viongozi wanatumia magari mapya ya serikali, je ni wangapi wakistafuu wana uwezo wa kuyanunua mapya wakisha stafu?
Kwa kifupi mkuu ameongoe sana na makinda ilibidi aongeze mda makusudi
Ha ha ha Alijishau ile ni Sindano ya Ganzi nadhani Katibu wa Bunge ilibidi amkumbushe Mh Anapitisha Muda ha ha a