Bungeni Live: June 28, 2012

Huyo mtoto wa Mwinyi anajua mazingira wanayofanyia kazi na ndo maana akapanda mabegani mwa baba yake awe mwanasiasa...........! Hivyo nio posho inayoropoka sio akili yake hiyo.
Masikini akipata, MATAKOZ YAKEZ.......MBWATA.
 
Habari toka jikoni zinasema kuwa Waziri wa afya bwana Hussein Mwinyi kutoa kauli ambayo ina ujumbe huu.

Wote watakao Goma kufukuzwa kazi kuanzia leo na wataweka daftari la kujiandikisha na kusaini.

Viongozi wote wa migomo kusimamishwa kazi na ikiwezekana kufutwa kazi na ikiwezekana kunyang'wanywa leseni.

Kutofanya shughuri yoyote katika maeneo ya hospitali.

Watakao kubali kufanya kazi kulindwa na askari.

UPDATES

Dodoma Interns 11 watimuliwa katika mafunzo ya vitendo kwa sababu ya mgomo

A very poignant question from Tundu Lissu; Pinda says he has done his best na tatizo bado lipo; maana yake he has reached the apex of his capabilities na kwa hiyo anastahili "kurusha taulo ulingoni" badala ya kuadopt scare tactics na ujambazi.
 
Pinda, kauli ya lolote na liwe alioitoa juu ya Mgomo wa Madaktari Alimaanisha kwa vile kesi
ipo Mahakamani na kwa kuheshimu muhimili wa dola. Yani Mahakama. Serikali haipaswi
kutoa kauli au kusemea shauri lililopo Mahakamani. Lakini kwa vile wanao athirika ni
wananchi na wanakufa. Hivyo lOLOTE NA LIWE serikali italisemea na kama itakua imeingilia
Mahakama, LOLOTE NA LIWE,

Usilete tafsiri za hisia zako! .... Ina maana wewe ndiye uliyemskia peke yako wakati amabwatauka jana ile? Mwache yeye mwenyewe ataeleza alikuwa ana maana gani. Ndio ushauri wangu kwako tu.
 
Iko wapi utawala wa kidemokrasia unaojali haki na utu wa mwananchi?
Wanajeshi wetu mnayaona haya?

Hivi wanajeshi huwa wanachukua nchi mpaka ikifikia hali gani? Mkuu Mungi jana tumekutafuta lakini naona ulikuwa busy.
 
Hivi wanajeshi huwa wanachukua nchi mpaka ikifikia hali gani? Mkuu Mungi jana tumekutafuta lakini naona ulikuwa busy.

Bado upo Arusha? Niliambiwa na Mzee wa Rula but it was too late nilikuwa na appointment somewhere!
Kama bado upo tuwasiliane!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom