dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Habari toka jikoni zinasema kuwa Waziri wa afya bwana Hussein Mwinyi kutoa kauli ambayo ina ujumbe huu.
Wote watakao Goma kufukuzwa kazi kuanzia leo na wataweka daftari la kujiandikisha na kusaini.
Viongozi wote wa migomo kusimamishwa kazi na ikiwezekana kufutwa kazi na ikiwezekana kunyang'wanywa leseni.
Kutofanya shughuri yoyote katika maeneo ya hospitali.
Watakao kubali kufanya kazi kulindwa na askari.
UPDATES
Dodoma Interns 11 watimuliwa katika mafunzo ya vitendo kwa sababu ya mgomo
Wote watakao Goma kufukuzwa kazi kuanzia leo na wataweka daftari la kujiandikisha na kusaini.
Viongozi wote wa migomo kusimamishwa kazi na ikiwezekana kufutwa kazi na ikiwezekana kunyang'wanywa leseni.
Kutofanya shughuri yoyote katika maeneo ya hospitali.
Watakao kubali kufanya kazi kulindwa na askari.
UPDATES
Dodoma Interns 11 watimuliwa katika mafunzo ya vitendo kwa sababu ya mgomo
Katika kipinda cha maswali kwa waziri mkuu. Pinda amesema kuwa hawatarajii kutoa tamko leo. Anasema bado wanaruhusu majadiliano na madaktari lakini kwa hatua za dharura wanafikiria mpango wa kuwarudisha madaktari wastaafu kazini na kuwachukua wote ambao wapo wizara ya Afya.
Leo katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni Mh Lissu amemtaka Waziri mkuu ajipime na aone kama kweli anastahili kuendelea na nafasi yake ya uwaziri mkuu ama lah.
Hii imekuja baada ya Lissu kumwuliza mbona ahadi zake alizotoa juu ya sakata la madaktari kushindwa kuzitimiza?
Waziri mkuu akajibu kwamba ameshafanya the best kupambana na na swala hilo.
Mhe Lissu akamwambia kama ndiyo umeshafanya the best na bado Madaktari wameanza mgomo huoni ni wakati muafaka wa wewe kujiudhuru.
Mwishowe Waziri mkuu akatetewa na Madam Speaker.
Mh.Shymar Kweygir amwaga machozi Bungeni kuwalilia walemavu wenzie wa ngozi kwa kuuliwa na watuhumiwa kutokamatwa ili hali tembo aliyeuwawa porini watuhumiwa wamepatikana.