Akili 09 Nguvu 01
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 693
- 1,365
Too late to catch the Moving train
Hahahahaha ,mkuu imebidi nicheke tu.......maana mtu kajiuzuru lakini imekua kafukuzwa.......duuuu hii sasa kaliHiyo your take hiyo ndiyo umevuruga mambo kabisa;
Hata hivyo;
Amebipu wenzake wamempigia; sasa historia itasomeka kuwa CCM ndio imemmwaga Nyalandu kutokana na makando kando yake na sio yeye kukiacha chama.
Hapa nadhani sisi tunaotawaliwa ndio tuna akili ndogo zaidi na ndo mana ccm wanatuoutsmart. Ipo haja ya kuweka mkakati wa maskudi wa kuwachomoa.huwa najiuliza ccm inawezaje kuendelea kutawala ikiwa akili zao ni kama hizi za akina ndugai
nyalandu katikisa lumumba nzima
Hiyo ni historia ya CCM. Tunajua mchakato wa kumfukuza mtu uanachama. hivi ishu ya Nyalandu ni nzito kuliko ya akina Sofia Simba? lakini picha ya sofia Simba tuliiona wote na kuifuatilia mpaka maamuzi ya mwisho kutangazwa. lakini hii ya Nyalandu ni geresha tu. Yaani mtu unaingiliwa na majambazi, wanaiba na kuondoka na fedha, halafu unasema hakuna walichochukua?Hiyo your take hiyo ndiyo umevuruga mambo kabisa;
Hata hivyo;
Amebipu wenzake wamempigia; sasa historia itasomeka kuwa CCM ndio imemmwaga Nyalandu kutokana na makando kando yake na sio yeye kukiacha chama.