Bunge lasema halijapokea barua ya Nyalandu kujiuzulu, lamvua ubunge kutokana na CCM kumfukuza uanachama

CCM 90% ni wajinga wajinga ndiyo maana wakamteua Bashite Maliyamungu kuwa mshauri mkuu wa Mtukufu malaika wa chato cha ajabu Bashite na yy kamteua le mutuz kubwa jinga pamoja na Jerry Muro mvuta Bangi kuwa mshauri wake, yaani Mtukufu anashauriwa na mtu asiye na vyeti huku huyo kilaza akishauriwa na kubwa jinga le mutuz unategemea nini?

vipi amejibu ??
 
Hiyo your take hiyo ndiyo umevuruga mambo kabisa;

Hata hivyo;

Amebipu wenzake wamempigia; sasa historia itasomeka kuwa CCM ndio imemmwaga Nyalandu kutokana na makando kando yake na sio yeye kukiacha chama.
Alietamgulia kutoa tamko ni Chama au Nyalandu? Kwetu historia imetengenezwa na Nyalandu kuikacha CCM.
 
Hii ni kuonyesha jinsi gani bunge linavyotawaliwa na Serikali kuu kama madai ya nyalandu alivyosema

Cheo ni kizuri lakini jamani watu wanampinga rafiki yako risasi 30+ harafu wala hawana habari kama walipiga mbwa nibakie nao,

Mbunguni kuna moto lazima tujue
 
Si uanzishe uzi wako?? Yani nyie akili zenu zinafanana kweli. Sasa hapa unaona ni sehem inayofaa pachika hiyo barua?

Worse enough, kinachoendelea Arumeru kishafahamika kwa werevu, kama mnadhani mtaattract attention ya wenye akili timamu mnajidanganya sana.

Kama mliweza nunua diwani anayelipwa posho mara kwa mara, mtaacha kummunua msaidizi wa mbunge?? Msiudhalilishe utu wenu kwa sababu ya njaa. Kwendraaaaaa!
 
CDM saizi ni Chaka la wezi, CDM limekuwa kimbilio la mafisadi. Majizi yote sasa njia nyeupe kwenda CDM
 
Hii ndo kudhalilisha chama tukaonekana wote hatuna akili,
kwanza tangu lini ccm ikafukuza kwa faster hivyo bila hata kukaa vikao?,

sasa tumefikia hatua ya kugushi hadi barua
halafu ccm hata kama imemfukuza mwanachama mmoja lazima kuna wengine watapewa onyo/karipio kali.

CCM hawako hivyo kama wanaidara ya propaganda ijitathmini upya
 
Hvi ndugai hana instagram handle nikamchambie huko mana naona hpa kuandika comments nyingi hatoona, Baba mtu mzima anawaza kutumia kiungo gni cha mwili?yani ni spika wa ovyo kabisa kuwai kutokea Tanzania
 
CCM 90% ni wajinga wajinga ndiyo maana wakamteua Bashite Maliyamungu kuwa mshauri mkuu wa Mtukufu malaika wa chato cha ajabu Bashite na yy kamteua le mutuz kubwa jinga pamoja na Jerry Muro mvuta Bangi kuwa mshauri wake, yaani Mtukufu anashauriwa na mtu asiye na vyeti huku huyo kilaza akishauriwa na kubwa jinga le mutuz unategemea nini?
Hapo ndipo panapoumiza. Kuna kila dalili kuwa hii nchi tumewaachia wajinga watuongoze. Kwakweli tusitegemee la ziada. Mbaya zaidi kitakwimu wala hawapo wengi, ila wanatuyumbisha kweli. Wah!
 
View attachment 621961

Moja ya habari kubwa za sasa hivi nchini Tanzania ni Lazaro Nyalandu ambae juzi ametangaza kujiuzulu nafasi zake zote ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM pamoja na Ubunge wa Singida Kaskazini.

Baadae Spika Ndugai alihojiwa na vyombo vya habari na kusema kwamba pamoja na kusikia taarifa za kujiuzulu kwa Nyalandu kwenye vyombo vya habari, yeye bado hajapokea barua ya kujiuzulu kwa Mbunge huyo.

Sasa leo imetoka taarifa kutoka Ofisi ya Bunge Dodoma ikiwa imeandikwa kama inavyosomeka hapo juu..
Polepole alisema Spika wa Bunge ni mshauri wa CCM hivyo asingeweza kuikubali barua ya Nyalandu kabla ya maelekezo toka ccm.
 
Juzi Polepole alisema "....kuhama kwa Nyalandu sio jambo geni.....ni afya ya siasa..." Polepole says Nyalandu is insignificant

...na kisha akasema tena "....namshangaa Nyalandu kuhama CCM chenye itikadi ya Ujamaa na kwenda CHADEMA kisicho na itikadi...."

Spika Ndugai anadhalilisha Bunge na kiti cha u-Spika, Ofisi ya Bunge imekuwa kama Tawi la Wakereketwa wa CCM Kizota. Wabunge mwajibisheni huyo ili msizidi kudhalilika.
Thread hii imejibu yote.Polepole amekiri kuwa Nyalandu amehama CCM,na anamshangaa
 
Back
Top Bottom