The Valiant
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,826
- 3,946
Hapa hata mtu asiye na akili atakwambia huu ni utoto..
Nimekumbuka kipindi unamtamkia mchumba wako kwamba umemuacha, analalamika,analia halafu baada ya siku mbili kuisha anakutumia ujumbe mfupi anakutaarifu hata yeye pia alishafikiria kukuacha muda mrefu sana!
Kwa lugha nyepesi hiki ni kichekesho tena cha kuvunja mbavu!
Hongera Lazaro Nyalandu, umewashika sawasawa!
hahahahah..Sikuadhani kuwa nyalandu anaweza kuwashika hivi..he used to be a silent Guy ..always