Wikiliki
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 528
- 139
Akichangia katika mjadala wa kupitisha kanuni za bunge la katiba amesema kura zie za siri ili wajumbe waondoke katika bunge baada ya kmaliza kazi wakiwa wamoja kwani kura za wazi huweza kuleta mfarakano baada ya kuonyesha msimamo yao. Ninamshukuru kiongozi huyu wa kiroho kwa kupinga unafiki hii wa CCM.