Bring back Wema

Hii kitu inaitwa umiss ni shidaaaaaa
Inaharibu mabint ni kama kagenge ka kutafutia ma tycoon wa mji vimwana.

Hakuna faida yoyote ya mashindano ya umiss nayoiona zaidu ya kuwaweka wasichana ktk soko la ufuska.
 
Maisha ni kujifunza. Since bado Ana mikono, miguu name afya njema uwezekano wa kubadilika upo. Ndio kwanza Ana 26 bado muda upo. Wakati unamnyooshea Wema na wengineo kidole na wewe jiangalie km unastahili kuwa ulipo ili ujiongeze na kubadilika. Vijana wengi huwa tunajisahau Sana na kujipa starehe. Ukijastuka ni 35 unaelekea 40 hakuna ulichofanya.
#learningmylessonsthroughother 'sexample
 
Hivi kuna mwanaume aliyetulia na mwenye future anaweza kuingiza dushe kwenye kitu ya huyo dada, waliompitia wote hata kwenye google unawapata, nafikiri kigodoro ni saizi yake, hongera angela damas,unakula kipupwe tu

FAFAUA plz ANGELA DAMASI anakula kipupwe cha wapi na ni kwa nini umefananisha hapa mana mamiss ni wengi wanaotanua sehemu mbalimbali DUNIANI na maisha yao ni BOMBA.
 
Anzisha kampeni basi.....mi nimemmiss warumi pia
JAPO WARUMI nina BIFU nae kwa jide LAKINI nimemmiss jamani BRING BACK OUR WARUMI jukwaa hili ndo lake ndo analoliweka active DONT YOU SEE INVISIBLE?
 
Back
Top Bottom