yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Kamati ya nidhamu na usuruhish ya tff imefuta adhabu walizopewa wachezaji wote wa yanga kwa sabb kamati iliyohusika kotoa adhabu ilikua imekurupukia kazi isiyokua yao.na kwamba adhabu hiyo ilitakiwa kutolewa na kamati ya nidham na usuruhish na sio kamati ya ligi..hureeee!