The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 820
- 2,070
Ni kweli Engineer Hersi ni mshkaji wa Manara, lakini linapokuja swala la kutii mamlaka ya TFF na kamati zake, Taasisi yoyote ile iliyochini ya mamlaka za TFF inapaswa kuziheshimu.
Yanga kama taasisi ilipaswa kuheshimu sheria, kanuni na kamati zote za TFF. TFF ilimpa adhabu ndugu Haji Manara ya kutojihusisha na shughuli zozote zile za kisoka, ila kwa MAKUSUDI hali wakijua kuwa wanakiuka taratibu na kanuni za TFF na kamati zake. Rais wa Yanga na uongozi wake wakampa ruhusa ndugu Haji Manara kuwa sehemu ya Shughuli za kisoka.
Hili ni kosa na linapaswa kuadhibiwa vikali sana.
Yanga kama taasisi ilipaswa kuheshimu sheria, kanuni na kamati zote za TFF. TFF ilimpa adhabu ndugu Haji Manara ya kutojihusisha na shughuli zozote zile za kisoka, ila kwa MAKUSUDI hali wakijua kuwa wanakiuka taratibu na kanuni za TFF na kamati zake. Rais wa Yanga na uongozi wake wakampa ruhusa ndugu Haji Manara kuwa sehemu ya Shughuli za kisoka.
Hili ni kosa na linapaswa kuadhibiwa vikali sana.