Hivi ninavyoandika kuna migomo mizito miwili hapa shuleni Ulayasi wilayani Ludewa. Walimu wanamkataa msarifu wa shule(bursar) kutokana na ubadhirifu uliopitiliza. Wanafunzi wanadai kutimiziwa kero ambazo hazijaondolewa. Hivi tumeambiwa askari, mkuu wa wilaya na afisa elimu sekondari wanakuja toka makao makuu ya wilaya Ludewa. Walimu hawaingii darasani mpaka mkurugenzi amuondoe mhasibu. Ni mgomo usiyo na kikomo. Shule ina wanafunzi zaidi ya 1500 A-LEVEL na O-LEVEL. Source- mimi mwenyewe ni mwalimu hapa. We seek your help, congrats.