Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ninavyoandika kuna migomo mizito miwili hapa shuleni Ulayasi wilayani Ludewa. Walimu wanamkataa msarifu wa shule(bursar) kutokana na ubadhirifu uliopitiliza. Wanafunzi wanadai kutimiziwa kero ambazo hazijaondolewa. Hivi tumeambiwa askari, mkuu wa wilaya na afisa elimu sekondari wanakuja toka makao makuu ya wilaya Ludewa. Walimu hawaingii darasani mpaka mkurugenzi amuondoe mhasibu. Ni mgomo usiyo na kikomo. Shule ina wanafunzi zaidi ya 1500 A-LEVEL na O-LEVEL. Source- mimi mwenyewe ni mwalimu hapa. We seek your help, congrats.
serikali haijapeleza swala hilo mahakamani kweli?!, hebu nitajie jina la viongozi wa mgomo ili ni mtume Hemed Msangi am-limboke.
CHADEMA hao wanahusika bila ya shaka yoyote. tena kova anajua hili suala. Lazima bursar wenu apelekwe mabwepande na mkenya
CDM haihusiki kweli hapa kwenye huu mgomo
Mkuu tunaaamini mtamaliza salama msije tuu mkapata virungu vya polisi kukawa na watu watakaoumia
du! Cdm imekukoroga sana,yaani kwa kuanza tu umeanza kuihusisha
na fungu lipo la kuwalipa hao walimu kutoka nje,zitatengwa bilions of dola just for paying dat tichaz,mabwepande bana...hamnazo kabisi.Walimu wakigoma wataajiriwa wengine toka Malawi, na wanafunzi wataletwa wengine toka Msumbiji!