permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,052
- 11,246
bima ya taifa ni taasisi safi kiutendaji wanachama wanafurahia huduma zetu 100%
Hakuna huduma mbaya kama za NHIF yaani ni majizi kazi ni kutafuna pesa. Ingekuwa na option ningejitoa kabisa. Hospital huduma mbaya tena unaangaliwa vibaya kama unatibiwa bure au umepotea njia. Kwa nchi nyingine bima ya afya ni first class service ila hapa ni vice versa. Wanachoweza ni kujilipa mishahara na posho kubwa. Tena sijui ni kwa nini Magufuli hakuanzia. Dhuluma ya kuhujumu afya ni kubwa kuliko ile ya kuhujumu pesa.