Kingmairo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 4,936
- 3,535
Mnajipambanua tu bure...niambie kwanini tuna changia hela kibao ambayo ningetibiwa vizuri tu Agha Khan lakini siruhusiwi.NHIF ni taasisi makini kunakodhihirishwa na kupata tuzo za kimataifa. Tatizo watanzania wengi mmezoea kufoji so mnafikiri NHIF itavumilia upuuzi wenu huo.