pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,020
Hapa nikujisalimisha tu. Hakuna namna
Kama alimaliza 96/97 basi yumo katika orodha ya 1.Naomba niangalizie Ali Nassor Salim nashindwa kuaccess
Kamaliza 2014Kama alimaliza 96/97 basi yumo katika orodha ya 1.
Yumo katika orodha ya 5. Ni mdaiwa namba 26963 katika orodha hiyo ya 5.Kamaliza 2014
umemaliza chuo mwaka gani mkuu maana haya waweza kuwa wayaongea ki-mtaala ila hali halisi huijuiKumbukeni mtaala ulibadilishwa 2005 kuwa competency based, ina maana unapewa maarifa baada ya hao upaje ujuzi na ubunifu wa kujiajiri, wanategemea tuwe tumejiongeza na kupata kipata cha kurudisha pesa ya watu
Eti mimi nadaiwa uku nilisoma kadiproma kwa kuunga unga, sijui haya majina wanayatoa wapiUtadhani list ya kamati ya harusi?
Waweke jina, jinsi, chuo, program uliosoma, mwaka uliomaliza, kiasi unachodaiwa.
Shame!
Matarajio yao bodi nikukusanya hicho kias kwalazima, lakini sidhani kama wameangalia hivi vtu
Katika hili kundi kuna watu ni
Marehemu
Vichaa
Vilema wakudumu
Wagonjwa wa muda mrefu
Majambazi
Waliozamia nchi za mbali.
Katika makundi yote yawezeka idadi yao ikawa kubwa kulingana na maisha yavokwenda kasi namajanga ya kila siku, yawezekana katika hao wadaiwa sugu wenye uwezo wakuweza kurudisha hcho kiasi hata 10%hawafiki.
Wakurupukaji sana nyie bodi
Kuna vitu vya kujua kuhusu haya madeni wakati serikali inawatafuta hawa wadaiwa:
Mimi ningekuwa serikali ingeniwia vigumu kufanya maamuzi ya kuzisaka hizi bilioni 2. Wewe ungefanyaje?
- Nasikia HESLB wanadai jumla ya shilingi Bilioni 2 kutoka hawa wadaiwa.
- Jumla ya wadaiwa wote (ukijumlisha majina katika orodha zote 5) ni 142,462.
- Ukigawanya hili deni kwa jumla ya wadaiwa unapata wastani wa shilingi 14,039. Yes, kila mmoja anadaiwa wastani wa shilingi elfu 14.
- Ungewasamehe wote kwa sababu gharama za kuwatafuta zitakuwa kubwa kuliko deni lenyewe?
- Ungewaambia kila anaejitokeza kwa hiari atapunguziwa alipe nusu tu? Hii itapunguza wadaiwa sugu wa kuwafuatilia.
- Utakaza uzi wa kuwasaka hata kama itagharimu trilioni 1?
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inatangaza orodha ya majina ya Wadaiwa Sugu ambao wamehitimu katika Vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu kuanzia mwaka wa masomo 1994/1995.
Wasugu hao wanapewa siku 30 kulipa madeni yao ndani ya muda huo kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa na wahusika kulazimika kulipia gharama za kuwasaka na kuendesha kesi.
Chanzo: Tovuti ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
Hahahahaah wataisoma
Naomba msaada niangalizie mdogo wangu DORAH THEODORY kamaliza 2009Yumo katika orodha ya 5. Ni mdaiwa namba 26963 katika orodha hiyo ya 5.
26963 NASSOR, NASSOR ALI 2013/2014
Mwanzoni wakati watu mtaani wakisema kuwa Bodi hawana takwimu sahihi za watu wanao wadai mimi hilo sikuliamini kabisa. Ila kwa orodha hii, napata shaka sana juu ya uwezo wa bodi. Kama kuna watu hawakukopa na wanadaiwa, wamelipa na bado inaonyesha wanadaiwa, watu mliopata asilimia sawa ya mkopo kuonekana mna deni tofauti mmoja kubwa mwingine dogo haya ni maajabu ya sayari ya mars. Mwezi ulopita kuna mfanyakazi mwenzangu ameanza kukatwa na Bodi ilihali hata chuo kikuu hakuwahi soma.Nilijaribu sana kufuatilia kama kuna njia ya mtu kulipia kulipia mkopo wake kwa njia ya mobile money au benki ila sikukuta eneo lolote hawa bodi walipo weka "UTARATIBU WA KUTAKA KUREJESHA MKOPO". Usikute hii ndio changamoto ambayo wengi wanaikuta kutokujua jinsi gani ya kurejesha hii mikopo. Nadhani wao pia wangeweka mambo hadharani katika tovuti yao ili mtu ujue mkopo huo unaanzaje kurejesha hata kwa kutuma pesa kidogo kidogo hadi iishe.
umemaliza chuo mwaka gani mkuu maana haya waweza kuwa wayaongea ki-mtaala ila hali halisi huijui
Kuna kubambikizana madeni hapa,, na ikithibitika kuwa nilibambikiwa deni ntaenda Mahakamanimaajabu haya utayaona Tanzania pekee...
mtu alishindwa kulipa ada ya chuo, akamaliza, hajaajiliwa, kamaliza hajakaa hata miaka miwili eti ni mdaiwa sugu!!
kamaliza 2013/2014 anakuaje sugu, huo usugu maana yake ni nini sasa??
haa haa kwel noma sana...
Na hayo imetoa wapi?Bodi ilishapoteza Majina msiwe na wasiwasi vijana