zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 10,146
- 21,477
sasa mkuu unaongelea kitu kilicho feli, unataka kilete matokeo chanya kweliNaujua Mtaala, lakini haujafanikiwa lengo
sasa mkuu unaongelea kitu kilicho feli, unataka kilete matokeo chanya kweliNaujua Mtaala, lakini haujafanikiwa lengo
HESLB
Inasikitisha sana kuona HESLB haikuwa imejipanaga ktk hili hakukuwa na mikataba yakueleweka hapo awali walipoanza kutoa tu hiyo mikopo. Kama ilivyomikopo mingine tulitegemea strategic plan ziwepo pamoja na kuwatengeneza mangira ya wahitimu wa vyuo kupata kazi. Mambo ya kuzingatia ni pamoja na:
1- Career development centers katika kila chuo ilikuwakutanisha waajili na wahitimu.
2. Bima mikopo; lazima kuwepo na bima ya mikopo inayotolewa kwa wanafunzi ili endapo wanafunzi wakishindwa kulipa tutokana na kufariki au kutokuwa na kazi waweze kurecover kutoka ktk Bima.
3. Uwepo wa debt collectors kwa zoezi zima la kukusanya marejesho kwa wakati muafaka.
4. Muda wamalipo ulitakiwa kwa SMART kulingana na hali halisi ya uchumi wa nchi.
Inasikitisha kwa staili hii watafungua kesi nyingi na gharama itakuwa kubwa sana kwa serikali na pengine jela hazitatosha, kwa vile watanzania wengi wapo mitaaani hawana kazi. Isitoshe wapo watanzania wengine wameanza kulipa kwaintalments wamewekwa katika list ya wadaiwa SUGU ambao ni udhalilishaji – (Credit defaulter) wanaweza kuathiri nafasi zao za kazi kwa sasa pia kupata mikopo sehemu nyingine, Watu wanamna hii wanaweza kufungua kesi mahakamani kuishitaki HESLB. Nashauri HESLB inafanye proper screening ya watu wanao wadai ambao hawajaanza kulipa madeni kabla ya kukimbilia mahakamani. Kufikilia swala la BIMA na debt collectors kabla ya maamuzi mengine.
Lasivyo hata wakiwapeleka watu mahakamani inaweza kuwa ni kazi ya bure ikiwa baazi ya wadaiwa SUGU ni wafu au hawana kazi wapo mitaani na wazamini wao ni maskini, Kumbuka kuwa kigezo cha umaskini kilitumika ktk kutoa mikopo na maskini huyu sana hajapata kazi. To be honesty let’s think Tanzania ni ya kwetu sote tuijenge pamoja.
Sure. Ama wagawe mashamba kwa wadaiwa na kuwatafutia masoko yanazao halafu waone kama hawatalipa. Maana kazi hakunaPia waoneshe na ajira ya mdaiwa ili kuleta maana zaidi!
Unasemaje gharama za kesi zitalipwa na mdaiwa wakati kesi haijaamuliwa? Gharama za kesi hulipwa na anayeshindwa.Wamesema wadaiwa ndio watalipa cost za kuendeshea kesi na kuwatafuta.
Kweli kabisa inaonyesha jinsi gani watu walivyo vilaza..............TUTAISOMA NAMBA - 2020.........Sijui JK aliwezaje kuongoza katika kipindi chake pesa zilitoka wapi.. watu walisoma na kupata mikopo bila matatizo... Mungu atusaidie kwa style hii ni kazi sana kuendelea... we need strategic thinker with high reasoning Capacity...Unasemaje gharama za kesi zitalipwa na mdaiwa wakati kesi haijaamuliwa? Gharama za kesi hulipwa na anayeshindwa.
That's according to Loans Board not me, they know terms of the contract not me.Unasemaje gharama za kesi zitalipwa na mdaiwa wakati kesi haijaamuliwa? Gharama za kesi hulipwa na anayeshindwa.
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inatangaza orodha ya majina ya Wadaiwa Sugu ambao wamehitimu katika Vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu kuanzia mwaka wa masomo 1994/1995.
Wasugu hao wanapewa siku 30 kulipa madeni yao ndani ya muda huo kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa na wahusika kulazimika kulipia gharama za kuwasaka na kuendesha kesi.
Chanzo: Tovuti ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu..
Watoe na majina ya wadaiwa wa escrow, epa, Richmond na wale wanasiasa waliofilisi Twiga Bank
Of course! Isijekuwa wanang'ang'ana na "majoblesi", wakaishia kutupiwa mawe bure!Sure. Ama wagawe mashamba kwa wadaiwa na kuwatafutia masoko yanazao halafu waone kama hawatalipa. Maana kazi hakuna
Hiyo HESLB ilikuwepo 1994?Duh!
Amakweli madeni hayaishi sasa jamaa mpaka 1994/1995 hadi leo hawajaresha...