technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,954
- 48,751
Waache wala usowakumbushe ....
Waache wakurupuke kwanza......
Waache wakurupuke kwanza......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bodi hawana kumbukumbu za baadhi ya wadaiwa! Hivyo wanaweja yu majina almradi mbele kwa mbele mtajuana huko. Hawana basis yoyote ya kumpeleka mtu mahakamani kwa sababu kumbukumbu na hata ile mikataba ya miaka ya 2005 mpaka 2012 hawana! Sijui iliungua au ilikuwaje!While kimsingi nakubaliana na dhana ya watu waliochukua mikopo kuirejesha ili wengine nao wanufaike, ningeomba ili zoezi liendeshwe kiumakini kidogo. Nimepitia hii list naona jina langu limo ingawa nilishalipa na
kumalizana nao kabisa.pia watu wangu wa karibu nnaowafahamu kuwa wamemaliza na wengine walipewa certificates majina pia
yamo.Mnaohusika na utoaji wa haya majina tafadhali hakikini tena kwa kupitia vyema vyanzo vya kumbukumbu/taarifa zenu..
Inabidi wajipange na kufanya kwa weledi na kisasa zaidi kwa kweli...Bodi hawana kumbukumbu za baadhi ya wadaiwa! Hivyo wanaweja yu majina almradi mbele kwa mbele mtajuana huko. Hawana basis yoyote ya kumpeleka mtu mahakamani kwa sababu kumbukumbu na hata ile mikataba ya miaka ya 2005 mpaka 2012 hawana! Sijui iliungua au ilikuwaje!
Utakuwa uliapply lkn pia kulikuwa uozo sana huko,kuna mambo mengi sana huko loanbdBodi ya mikopo hii tabia ya kurupuka kwa taasisi kubwa kama hii ni hatari sana nilikua private na mpaka leo nina receipts zote nilizoliipia ada na accomodation..lkn jina langu liko kwenye orodha kama mdaiwa sugu they have to apologize kwa public if at all kama hawana data sahihi wakawaombe wadai sugu watawapatia,hawa loan board wana kichaa They want to solve political pressure siasa za maji taka zitawaua bongo Duplicates kibao za majina
Wawe na SUBIRA hadi nivune mbao zangu...waanze kuwakata waliowaajiri kwanzaKumbukeni mtaala ulibadilishwa 2005 kuwa competency based, ina maana unapewa maarifa baada ya hao upaje ujuzi na ubunifu wa kujiajiri, wanategemea tuwe tumejiongeza na kupata kipata cha kurudisha pesa ya watu
Hili ndio lilikuwa swala la msingi,kama walifanya kosa waskurupuke kupata suruhu lazima wakubali kulala kwenye vitanda walivyotandika wenyeweWawe na SUBIRA hadi nivune mbao zangu...waanze kuwakata waliowaajiri kwanza
Wao waliomba mikopo wasome au wapate ajiraa???Je wote walio kopa wana Ajira za kuwawezesha kulipa hayo madeni au ndo hawa mamalishe na wauza mitumba huku mtaani?
Samahani nimechelewa kukujibu.Naomba msaada niangalizie mdogo wangu DORAH THEODORY kamaliza 2009