Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu yafungua dirisha la maombi kwa siku 40, yatoa muongozo

Msaada wakuu barua ya kusimamisha jina lako TCU Kama uliomba mwaka Jana na aukwend unataka unde mwaka huu mbon barau Amana za kutuma ili wakusitishe mwenye taharifa zozote kuhusu Jambo Hilo atuambie
Vipi umejaribu kuaply mwaka chuo chochote ikakataa ??
 
Ivi wakuu kama uliomba mkopo mwaka jana ukakosa mwaka hu unaply na acc nyingine au unaendelea na ileile
 
Hatua za ujazaji wa fomu ya mkopo online iko very technical, cyo kila mtu anaweza kujaza kwa ufasaha wake.Inabidi uwe umefanya hiyo process several times.Unaweza kuhisi umejaza vzr kwa hatua zote,lakini cku ya ku release majina ya waliokosea ukajikuta.Ndiyo maana wapo wanaofanya hizo kazi miaka yote,hivyo wana uzoefu wa kutosha.Watumieni hao watu...!
umeeleza vizuri sana., kuna hizi stationary wanatoa hii huduma...ukijaribu kufnyia kwenye sim lazma ulie....
 
Hapa naona siku zitanipita tu.. Hebu nitazame macho tu
Ndo yakuwaje maana nina semester 1 tu mkononi
kwani dip si semista 4 mkuu?... ambapo mwaka wa kwanz semista 2 na wa pili semista 2.....sasa progressive report itamiss semista 1 tu mana mitihani wa2 si walimaliza juzi tu!, hivyo basi, nenda chuo kawaambie wakupe progressive report, itakuwa na matokeo ya semista 3 tu.
Cjakuelewa hapo uliposema una semista 1 tu mkononi...kwani diploma si semista 4?...
 
kwani dip si semista 4 mkuu?... ambapo mwaka wa kwanz semista 2 na wa pili semista 2.....sasa progressive report itamiss semista 1 tu mana mitihani wa2 si walimaliza juzi tu!, hivyo basi, nenda chuo kawaambie wakupe progressive report, itakuwa na matokeo ya semista 3 tu.
Cjakuelewa hapo uliposema una semista 1 tu mkononi...kwani diploma si semista 4?...
Mm, na-upgrade( Yaani Diploma yangu ni 1year only = 2 Semester)
Ndo maana nakwambia hvyo
 
Back
Top Bottom