Josevic
Member
- Apr 30, 2013
- 19
- 11
Karibu sana SUA
Karibu sana SUA
Karibu sana SUA
Kaka vp ww uko SUA nn? Au umefanya application sua?Karibu sana SUA
Vipi umejaribu kuaply mwaka chuo chochote ikakataa ??Msaada wakuu barua ya kusimamisha jina lako TCU Kama uliomba mwaka Jana na aukwend unataka unde mwaka huu mbon barau Amana za kutuma ili wakusitishe mwenye taharifa zozote kuhusu Jambo Hilo atuambie
Fungua akaunti...!Ivi wakuu kama uliomba mkopo mwaka jana ukakosa mwaka hu unaply na acc nyingine au unaendelea na ileile
Kuna haja gani ya kufungua mpya kama unakumbuka password ya mwaka janaFungua akaunti...!
mkuu, ombea progressive report....mda mchache huu, ohooNdo kwanza nasubiri matokeo yangu chuoni
Kila lakheli...!Kuna haja gani ya kufungua mpya kama unakumbuka password ya mwaka jana
umeeleza vizuri sana., kuna hizi stationary wanatoa hii huduma...ukijaribu kufnyia kwenye sim lazma ulie....Hatua za ujazaji wa fomu ya mkopo online iko very technical, cyo kila mtu anaweza kujaza kwa ufasaha wake.Inabidi uwe umefanya hiyo process several times.Unaweza kuhisi umejaza vzr kwa hatua zote,lakini cku ya ku release majina ya waliokosea ukajikuta.Ndiyo maana wapo wanaofanya hizo kazi miaka yote,hivyo wana uzoefu wa kutosha.Watumieni hao watu...!
Hapa naona siku zitanipita tu.. Hebu nitazame macho tuahaa vipi UE ya mwisho mmeshafanya au utatumia matokeo gani kuomba mkopo
Ndo yakuwaje maana nina semester 1 tu mkononimkuu, ombea progressive report....mda mchache huu, ohoo
Wakuu nipo namwombea Dogo kote nimeshajaza ila kila niki-upload picha yake inasema “the file you are attempting to upload is not allowed” shida nini.?
kwani dip si semista 4 mkuu?... ambapo mwaka wa kwanz semista 2 na wa pili semista 2.....sasa progressive report itamiss semista 1 tu mana mitihani wa2 si walimaliza juzi tu!, hivyo basi, nenda chuo kawaambie wakupe progressive report, itakuwa na matokeo ya semista 3 tu.Hapa naona siku zitanipita tu.. Hebu nitazame macho tu
Ndo yakuwaje maana nina semester 1 tu mkononi
Mm, na-upgrade( Yaani Diploma yangu ni 1year only = 2 Semester)kwani dip si semista 4 mkuu?... ambapo mwaka wa kwanz semista 2 na wa pili semista 2.....sasa progressive report itamiss semista 1 tu mana mitihani wa2 si walimaliza juzi tu!, hivyo basi, nenda chuo kawaambie wakupe progressive report, itakuwa na matokeo ya semista 3 tu.
Cjakuelewa hapo uliposema una semista 1 tu mkononi...kwani diploma si semista 4?...
duuh kwa hapo sasa cjajua inakuwaje mkuu...ila ungewauliz chuo wangkupa ufafanuzi zaidMm, na-upgrade( Yaani Diploma yangu ni 1year only = 2 Semester)
Ndo maana nakwambia hvyo