Yale Maghorofa yanayojengwa na serikali pale UDSM kama Hostel, yanacost 10b Tshs tu wanafunzi karibia 4000! So kama YANGA inadaiwa 11 b na gabachori na Kaunda hakuna hata nyasi ! World wonder!Kuongoza timu mpaka kufikia deni la Bilion 11 ndo usimamizi mzuri???
tunahamu sana ya kufikia maendeleo lakini siyo kwa njia hii
BMT anasimamia katiba. Katiba za Simba na YANGA hazitambui UKODISHWAJI au Mmiliki binafsi.BMT is a regulator. How comes be a court?
Kama mmeshaamua mkabadili katiba yenu kwanza. Mkiweza hapo hamtaona BMT wakitokwa povu.BMT hawana ss wanchama tushaamua Simba tutaiendesha kwa mfomo share basi wawazie hao Yanga sio ss