Naibu Waziri wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (MwanaFA), amewaomba mashabiki wa Simba na Yanga kuungana pamoja katika kuziombea timu zao kuelekea mechi zao za Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL).
Pia MwanaFA amesema kuwa goli la Mama bado lipo palepale.
Simba itacheza Ijumaa Februari 23, dhidi ya Asec Mimosas.
Yanga itacheza Jumamosi Februari 24, dhidi ya CR Belouizdad.
Credit - AzamTV
Pia MwanaFA amesema kuwa goli la Mama bado lipo palepale.
Simba itacheza Ijumaa Februari 23, dhidi ya Asec Mimosas.
Yanga itacheza Jumamosi Februari 24, dhidi ya CR Belouizdad.
Credit - AzamTV