Simba kumbe aliwekewa hujuma na timu 4 kubwa Asec, Wydad,. Yanga na Galaxy ili aisipenye robo fainali

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,836
Aisee kweli mpira ni vita sasa ni wazi kumbe Simba alikuwa akipambana na hujuma kali kutoka kwa timu 4 ili asiingie robo fainali.

Timu hizo ni Wydad ambaye aliamua kucheza mchezo mchafu na kwenda kuwahonga Asec wamuachie goli ashinde kwa uhakika.

Timu nyingine ni Asec ambao walikubali kula hela na kuwaachia Wydad wafunge goli la mserereko

Watanzania wenzetu Yanga aka Utopolo nao wakaifanyia Simba mchezo mchafu wa kuwapokea wapinzani wa Simba na kuwapa mbinu za nje na ndani ya uwanja.

Lakini hata hivyo Simba aliwashangaza wote kwa kumkung'uta Galaxy goli 6 na kuweka rekodi mara ya pili mfululizo kwa ushindi mkubwa zaidi katika hatua ya makundi, baada ya ule wa 7-0 dhidi ya Horoya
 
Aisee kweli mpira ni vita......Sasa ni wazi kumbe Simba alikuwa akipambana na hujuma kali kutoka kwa timu 4 ili asiingie robo fainali
...
FB_IMG_1709242144657.jpg
 
Ila simba wana washabiki maandazi jamani! Sijui huwa wanatumia viungo gani vya mwili kufikiria
 
Aisee kweli mpira ni vita sasa ni wazi kumbe Simba alikuwa akipambana na hujuma kali kutoka kwa timu 4 ili asiingie robo fainali.

Timu hizo ni Wydad ambaye aliamua kucheza mchezo mchafu na kwenda kuwahonga Asec wamuachie goli ashinde kwa uhakika.

Timu nyingine ni Asec ambao walikubali kula hela na kuwaachia Wydad wafunge goli la mserereko

Watanzania wenzetu Yanga aka Utopolo nao wakaifanyia Simba mchezo mchafu wa kuwapokea wapinzani wa Simba na kuwapa mbinu za nje na ndani ya uwanja.

Lakini hata hivyo Simba aliwashangaza wote kwa kumkung'uta Galaxy goli 6 na kuweka rekodi mara ya pili mfululizo kwa ushindi mkubwa zaidi katika hatua ya makundi, baada ya ule wa 7-0 dhidi ya Horoya
Timu KUBWA mbili tu hapo kaka, ASEC na WYDAD
 
Aisee kweli mpira ni vita sasa ni wazi kumbe Simba alikuwa akipambana na hujuma kali kutoka kwa timu 4 ili asiingie robo fainali.

Timu hizo ni Wydad ambaye aliamua kucheza mchezo mchafu na kwenda kuwahonga Asec wamuachie goli ashinde kwa uhakika.

Timu nyingine ni Asec ambao walikubali kula hela na kuwaachia Wydad wafunge goli la mserereko

Watanzania wenzetu Yanga aka Utopolo nao wakaifanyia Simba mchezo mchafu wa kuwapokea wapinzani wa Simba na kuwapa mbinu za nje na ndani ya uwanja.

Lakini hata hivyo Simba aliwashangaza wote kwa kumkung'uta Galaxy goli 6 na kuweka rekodi mara ya pili mfululizo kwa ushindi mkubwa zaidi katika hatua ya makundi, baada ya ule wa 7-0 dhidi ya Horoya
Seriously! Please stop this nonsense already.
 
Back
Top Bottom