Vipi wanatoa posho? Kama wanatoa niambie nije nichukue then nirudi zangu CDM!
Nipo maeneo ya hapa Mkolani - millennium bar limepita Lori na vijana kibao! Wanapelekwa Kirumba kuvalishwa mavazi ya Kijani na njano. Wamezomewa na vijana kwa alama ya CDM Nina picha nitaiweka!
Waambieni hizo pesa wanazochezea za walipa kodi wawalipe madaktari warudi kazini kuokoa maisha,hivi bado wanafanya biashara za ujima ina maana watalala ndani ya uwanja adhabu kweli
rev nisome hapo juu, ni kutoka ngudu hizo
Watu wanalazimika kulala uwanjani,na mbu hizi mbona watakoma.
Mkuu Bukwimba ndo wapi?Wafanyabiashara wanewalazimisha kuchangia hiyo sherehe! Hao ni Ngudu na Bukwimba
Hapa Mwanza leo magari ya serikali yamejaa kila sekunde unapishana na maV8 STK inaelekea sherehe za chama zimegeuka kuwa ya serikali gharama inaonekana kubwa sana kwani madc,wakurugenzi,maRC wote wapo wanatanua per diem na madereva wao, wakati madaktari na wagonjwa hoi hii ndio ccm inapotupeleka....