Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Kati ya mambo ambayo Asasi za Kiraia wanaonekana dhahiri kutusaliti umma wa Tanzania ni pamoja na kunyamazi jii haya matumizi mabaya ya rasilmali za umma kwa shughuli binafsi za kichama.
Kwa kuwa nchi hii kuliibuka hulka kwamba ili ulinde ajira yako ni sharti uegemee CCM hata kama hukipendi kitu, wala sintoshangaa sana kuona UDASA, TPN, Tanganyika Law Society, Tanzania Human Rights Comission, Mhe Tendwa wote wakiamua kujikalia tu kimya kama vile hakuna kitu cha ajabu kiasi hiki kutokea kati kati yetu.
Kwa kuwa nchi hii kuliibuka hulka kwamba ili ulinde ajira yako ni sharti uegemee CCM hata kama hukipendi kitu, wala sintoshangaa sana kuona UDASA, TPN, Tanganyika Law Society, Tanzania Human Rights Comission, Mhe Tendwa wote wakiamua kujikalia tu kimya kama vile hakuna kitu cha ajabu kiasi hiki kutokea kati kati yetu.
Ukiambiwa Dr Slaa kwamba CCM ni chama Dola, kinatumia rasilimali za serikali kuendesha shughuli zao, huelewi? Tafakari, chukua hatua...