Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Jf navyokupenda,nitakunywa sumu juu yako
Chama Chetu cha Mapinduzi chajenga nchi.
Hao si makada bali ni walalahoi wenye nia ya kula na kunywa kufidia fedha zao zilizoporwa na Chama Cha Mafisadi na vibakauchumi kugharimia upuuzi huu. Hata mimi nawaunga mkono. Wale wanywe mwisho wa sherehe wawanyooshee vidole viwili!mkuu kuna pombe za kumwaga leo bei ni bureeeeeeee wewe tu! hehehehe naona fuso 3 zimekatiza hapa tena zikiwa zimejaa makada, taarifa za kiintelijensia zinasema zimetokea ngudu
Hamna hata haya kucheza na magamba?
kama huna cha kuposti kaa utulie usome post zingine za akili!!
Kukosa kazi kubaya naona mssaburi zinavyofanys kazi. Hamna sababu hapo. Chama kinafanyia shereje mkoa wowote kinaopanga na kwa kila mwaka kutakwepo mkoa mojawapo cos hakiwezi kufanyia sherehe angani