NnyaMbwate
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,678
- 1,204
Kesho na kesho kutwa vichwa vya habari vitasomeka 'SHEREHE ZA KUZALIWA CCM ZAFANA NA KUHUDHURIWA NA MAELFU YA WATU' Kumbe watu wenyewe wamesombwa toka nje ya jiji la MZA!
Mkuu Bukwimba ndo wapi?
Niko hapa maeneo ya Villa Park Resort jirani kabisa Kirumaba stadium mpaka dakika hii yameishaingia malori sita yakiwa yamejaza watu,tatizo yanapita kwa kasi ajabu nakuingia uwanjani moja kwa moja ila wakazi wengi walio jirani wanapiga miluzi na kuzomea kila lori linalopita huku wakionyesha vidole viwili alama ya cdm,ajabu waliomo kwenye malori hawajibu chochote badala yake wanonekana kushangaa shangaa,niki bahatisha japo picha nitawawekea,japo malori yanakuwa so speedy.
Zimeingia zingine 4 na taarifa zinasema wanatolewa maeneo ya Magu,Misungwi,Sumve,Kwimba na vijiji vingine vinavyo zunguka jiji la Mwanza,na wakishaingizwa uwanjani wana valishwa sare za ccm,na duru zinaarifu kuwa kuna mafundi vyerehani zaidi ya 40 wamo uwanjani toka juzi wamekuwa wakishona sare za ccm usiku na mchana chini ya ulinzi mkali wa Polisi na greenguard.
halafu hakuna fedha za madaktari!!!!
ccm wana nia ya kuonyesha population ni kubwa ili kujifariji kuwa bado wana wafuasiVipi wanatoa posho? Kama wanatoa niambie nije nichukue then nirudi zangu CDM!
Suala la malazi na wataoga wapi ndiyo gumzo hapa mitaani maana wako wengi mno,sidhani kama ccm wanaweza ingia gharama za kuwalaza guest coz wanaonekana kuwa pirimitivu sana na hawajielewi.
Wafanyabiashara wanewalazimisha kuchangia hiyo sherehe! Hao ni Ngudu na Bukwimba
Bila picha ni propaganda tu
Nipo maeneo ya hapa Mkolani - millennium bar limepita Lori na vijana kibao! Wanapelekwa Kirumba kuvalishwa mavazi ya Kijani na njano. Wamezomewa na vijana kwa alama ya CDM Nina picha nitaiweka!