Binti huyu ametupanga wanaume kumi na moja

Ujue katika ulimwengu wetu kuna baadhi ya wanawake kufanya nao uhusiano ni bora hata changudoa ambae ukienda unajiandaa tofauti na yule unaejiachia nae bay, baby kumbe ni changudoa la kutupwa na nirahisi kukuingiza mkenge na matatizo tele.

Afadhali changudoa ambae anajulikana kazi yake kuliko mwanamke kama huyo
 
Ukimuona kwa macho utasema huyu ndio mwanamke kumbe ni bonge la kimeo.

Ilikuwa mida ya jioni natoka zangu kazini mara ikaingia massage baby uko wapi nimekumisi, nikamjibu ndo natoka kazini now yeye.

Basi naomba upitie nyumbani japo nikuone nimekumiss sana we mwanaume.

Nikaona isiwe shida ngoja nikamuone roho yake itulie nipo njiani wazo likanijia. Nikapitia duka moja maarufu Sinza na kumnunulia zawadi ya viatu kama suprize nimejikoki mwenyewe naenda kwa babybaby, mademu bwana.

Kufika akanipokea kwa bashasha na mabusu motomoto dady’s home.

Yeye najua umechoka baby wangu kaa kwa kochi upumzike nataka nikutengenezee juice fresh unayo ipendaga..nikamwambia ngoja kwanza nikupe zawadi yako nikatoa vile viatu na kumpatia akafurahi sana na kuvijaribisha vilimtosha na kumpendeza , nikapewa busu lingine la sekunde kazaa.

Akatoka kwenda kuandaa juice huku simu yake na vile viatu akiwa ameviacha jirani na kochi nililokaa nikamuuliza simu yako inabando akanijibu ndio.

Nikaichukua nakuingia sehemu ya kubrowse internent akili ikanituma nifanye udukuzi kidogo nikafungua application yake ya watsupp mbona nilichoka.

Nilikuta msururu wa wanaume anaochati nao nakuwatumiana picha akiwa amevaa pichu tu nakukaa kimitego huku wakiambiana ni jinsi gani wamemisiana kupeana utamu kijasho kikanitoka, nikajikaza mwenyewe na kuendelea kuperuzi kwa wote idadi ikafikia wanaume kumi na moja na kwa mtiririko wa chating yao wote waonekana wameshapewa utamu.

Napenda kusema kitu kimoja hapa tangu nimeanza mahusioano nae tumefikisha mwaka sasa sikuwahi hata siku moja kuishika simu yake.

Nilishikwa na hasira sana yani huduma zote ninazo mpatia kumbe nahudumia kahaba nikamwita na kumuuliza aniambie hao watu ni akina nani.

Utetezi alionipa anasema ni marafiki zake nisimfikirie vibaya.

Nilitamani nimkate kofi moja la nguvu yani ushahidi wote ninao hapa unanijibu rejareja hivyo nikamuuliza huo urafiki pamoja nakugongana we kweli kiboko sasa unataka nikupe cheo gani huu ni umalaya au kipaji.

Akaanza kulia huku akiomba nimsamehe.

Kwakweli nilichanganyikiwa nakujiuliza hivi huyu binti anawezaje kutupanga wengi hivi nilichofanya nikuchukua viatu nilivyokuja navyo nikamwambia nimejitoa kwenye hiyo cheni na kama viatu atakuleta mwingine hivi naondoka navyo.

Nipo njiani kurudi home massage za kuomba asemehewe na kuto rudia tena zinamiminika kwenye simu yangu huku akijuta na kudai mimi ndo ananipenda kiukweli nikimwacha hatopata furaha ya maisha nakuomba nimpe last chance abadilike nikamjibu nakumwambia huwa natoa msamaha kwa makosa mengine lakini sio kwa hilo la kuchapiwa naomba tuachane kwa amani tu mama.

Akanipigia simu sikupokea akarudia tena na tena nikapokea.

Nikamuuliza unasemaje akanimbia ananipenda sana na hawezi kuishi bila mimi uku akilia..nilichomjibu ni kwamba siwezi kuendelea nae.

Kitu kingine kinacho nichanganya hapa nikwamba ametishia kujiua na yupo chini ya uangalizi wa dada yake jamani hata kama ni msamaha nikifiria idadi yake ya wanaume nachefuka kabisa..napigiwa simu kila mara kuombwa nirudishe moyo na ndugu zake ninachowajibu ni kwamba siwezi ajaribu kumchagua mwingine atakayempenda sana mpaka nafikia hatua ya kuwaandikia hii habari huyu binti amelazwa hospital presha imeshuka.

Hapa nafanyaje wakuu kiukweli huyu mwanamke amenitoka kabisaa..hofu yangu ni hiyo ya kulazwa kisa mimi inamaana nikigoma hata kwenda hospital si ndio majanga yataongezeka msaada wenu wakuu kichwa changu kimevurugwa kabisa.
Naomba uniambie hali ya papuchi yake kama ni mnato nife sasa hivi
 
Mbona simu napokea Mkuu ila naongea na ndugu zake yeye hana cha kuniambia zaidi ya kulia tu..,hospatl itabidi niende tu huu undugu lawama mbona.,

nakushauri nenda hospital ukampe dawa (mpe matumaini kuwa umemsamehe) ili apone lakini uwe makini.usimpe ahadi insteady mpe matumaini ili apone.pia ongea na ndugu zake uwambie ukweli kuwa lengo lako la kwenda hospitali ni kumpa matumaini mgonjwaa na wala siyo kusamehe.
huyo demu ni tester na akishatest anapenda so inshort hafai.
 
Ukimuona kwa macho utasema huyu ndio mwanamke kumbe ni bonge la kimeo.

Ilikuwa mida ya jioni natoka zangu kazini mara ikaingia massage baby uko wapi nimekumisi, nikamjibu ndo natoka kazini now yeye.

Basi naomba upitie nyumbani japo nikuone nimekumiss sana we mwanaume.

Nikaona isiwe shida ngoja nikamuone roho yake itulie nipo njiani wazo likanijia. Nikapitia duka moja maarufu Sinza na kumnunulia zawadi ya viatu kama suprize nimejikoki mwenyewe naenda kwa babybaby, mademu bwana.

Kufika akanipokea kwa bashasha na mabusu motomoto dady’s home.

Yeye najua umechoka baby wangu kaa kwa kochi upumzike nataka nikutengenezee juice fresh unayo ipendaga..nikamwambia ngoja kwanza nikupe zawadi yako nikatoa vile viatu na kumpatia akafurahi sana na kuvijaribisha vilimtosha na kumpendeza , nikapewa busu lingine la sekunde kazaa.

Akatoka kwenda kuandaa juice huku simu yake na vile viatu akiwa ameviacha jirani na kochi nililokaa nikamuuliza simu yako inabando akanijibu ndio.

Nikaichukua nakuingia sehemu ya kubrowse internent akili ikanituma nifanye udukuzi kidogo nikafungua application yake ya watsupp mbona nilichoka.

Nilikuta msururu wa wanaume anaochati nao nakuwatumiana picha akiwa amevaa pichu tu nakukaa kimitego huku wakiambiana ni jinsi gani wamemisiana kupeana utamu kijasho kikanitoka, nikajikaza mwenyewe na kuendelea kuperuzi kwa wote idadi ikafikia wanaume kumi na moja na kwa mtiririko wa chating yao wote waonekana wameshapewa utamu.

Napenda kusema kitu kimoja hapa tangu nimeanza mahusioano nae tumefikisha mwaka sasa sikuwahi hata siku moja kuishika simu yake.

Nilishikwa na hasira sana yani huduma zote ninazo mpatia kumbe nahudumia kahaba nikamwita na kumuuliza aniambie hao watu ni akina nani.

Utetezi alionipa anasema ni marafiki zake nisimfikirie vibaya.

Nilitamani nimkate kofi moja la nguvu yani ushahidi wote ninao hapa unanijibu rejareja hivyo nikamuuliza huo urafiki pamoja nakugongana we kweli kiboko sasa unataka nikupe cheo gani huu ni umalaya au kipaji.

Akaanza kulia huku akiomba nimsamehe.

Kwakweli nilichanganyikiwa nakujiuliza hivi huyu binti anawezaje kutupanga wengi hivi nilichofanya nikuchukua viatu nilivyokuja navyo nikamwambia nimejitoa kwenye hiyo cheni na kama viatu atakuleta mwingine hivi naondoka navyo.

Nipo njiani kurudi home massage za kuomba asemehewe na kuto rudia tena zinamiminika kwenye simu yangu huku akijuta na kudai mimi ndo ananipenda kiukweli nikimwacha hatopata furaha ya maisha nakuomba nimpe last chance abadilike nikamjibu nakumwambia huwa natoa msamaha kwa makosa mengine lakini sio kwa hilo la kuchapiwa naomba tuachane kwa amani tu mama.

Akanipigia simu sikupokea akarudia tena na tena nikapokea.

Nikamuuliza unasemaje akanimbia ananipenda sana na hawezi kuishi bila mimi uku akilia..nilichomjibu ni kwamba siwezi kuendelea nae.

Kitu kingine kinacho nichanganya hapa nikwamba ametishia kujiua na yupo chini ya uangalizi wa dada yake jamani hata kama ni msamaha nikifiria idadi yake ya wanaume nachefuka kabisa..napigiwa simu kila mara kuombwa nirudishe moyo na ndugu zake ninachowajibu ni kwamba siwezi ajaribu kumchagua mwingine atakayempenda sana mpaka nafikia hatua ya kuwaandikia hii habari huyu binti amelazwa hospital presha imeshuka.

Hapa nafanyaje wakuu kiukweli huyu mwanamke amenitoka kabisaa..hofu yangu ni hiyo ya kulazwa kisa mimi inamaana nikigoma hata kwenda hospital si ndio majanga yataongezeka msaada wenu wakuu kichwa changu kimevurugwa kabisa.

!
!
umekosea mani,usingemsanua ungemuektia bonge la movie kama hujui vile huku unamlia tyming ya kumgegeda kisela
 
nakushauri nenda hospital ukampe dawa (mpe matumaini kuwa umemsamehe) ili apone lakini uwe makini.usimpe ahadi insteady mpe matumaini ili apone.pia ongea na ndugu zake uwambie ukweli kuwa lengo lako la kwenda hospitali ni kumpa matumaini mgonjwaa na wala siyo kusamehe.
huyo demu ni tester na akishatest anapenda so inshort hafai.

Asante Mkuu kwa ushauri wako nimepanga nifanye hivyo ..huyu mtu hanifai aisee .,
 
duh! tuseme yy alikuwa kocha ama refa maana hii balaaa! ivo viatu namba ngapi vile.?
 
Mwache afe tu aisee uwez jua mungu kakuepusha nn vp umepima gonjwa letu lile
 
Pole sana mkuu, ni kweli inauma sana kugongewa mchumba au mkeo. Mimi binafsi nakushauri usifanye uamuzi wa haraka sana, baada ya kutushirika sisi wana jamiiforum na kila mmoja mmoja amekushauri kulingana na uwezo wake wa kufikiri ulipoishia, sasa nakushauri pia zungumza na ndugu zako ambao walikuwa wanajua una mahusiano na huyo msichana hasa ongea na watu wenye busara na experience za maisha ya ndoa.

Baada ya hapo pia jaribu kuzungumza na ndugu wa karibu wa huyo mchimba wako kisha changanya mawazo yote na chambua kwa umakini wa hali ya juu, hapo nina uhakika utapata jibu lililo sahihi ambalo hutakuja kujutia kwa uhamuzi utakaofanya.

Jambo lingine la mwisho pia nakuomba sana achana na hiyo tabia ya kuchunguza chunguza na kuperuzi simu ya mchumba/mkeo, ukiendelea na hiyo tabia hakuna uhusiano utakao kuja kumudu kwako na kila siku utaishia kulia humu jamiiforum kuomba ushauri wa aina hiyo na mwisho tutakuchoka. Huyo mwanamke anaonekana anakupenda sana ila uzuri wake ndio kikwazo maana na sisi wanaume tukimwona mwanamke mzuri hata kama ni mke wa mtu tena wa jirani au hata wa ndugu au rafiki yako hatuishi kutamani na utakuta mtu anafanya kila mbinu kumdangana mwanamke wa watu mpaka anakubali.

Wanawake kwa waume acheni umalaya, pumbavu zenu
 
kabla hujachukua maamuzi yeyote jiulize maswali haya:
Je wewe mwenyewe umewahi kuwa na wapenzi wangapi/kwa sasa unao wangapi?
Na hao ni wapenzi wake wa sasa ,je kabla ya hapo atakuwa ameshatmbea na wangapi?
Hao ni wapenzi wake wenye simu zenye access ya watsup ,je wale wasiotumia watsup ni wangapi?
nakushauri uoe ili kuepusha hizo kadhia.
 
Nadhan haka katabia ka wadada mjini ni fashion asee, pole chief mimi nilikuwa tayar kumpa ujauzito ila kabla sijafanikisha lengo langu nikagundua ya kuwa ni nyumba ndogo ya mwanaume mwenzangu tena kamsaidia toka akiwa sekondari, iliniuma sana lakin nilifanikiwa kumuacha japo kwa shida sasa nakaribia miezi Sita sasa akili yangu ipo sawa natafuta mpnz mpya kiroho safi kabisa nadhan fanya mpango wa kuachana nae tu mkuu....!!!
 
Watu huwa wanapiga chini kimyakimya. Ukishaona akiri yako imekutuma kuandika huku na kuomba ushauri, ujue bado unapenda na unataka justification tu ya kumrudia

Umeona live communication za kimapenzi na jamaa wasiopungua 11, wengine wametumiwa picha za utupu kabisa na bado una moyo?? all the best mkuu. Msamehe na anaweza kubadirika huko mbele ya safari!
 
Najipenda sana Mkuu sina mchepuko nilikuwa namwandaa aje kuwa mke kumbe majanga tu..
Achana nau huyo,hawezi badilika.bora umejua mapema,imagine unachapiwa mke na midume zaidi ya kumi.Acha alie atazoea tu
 
Nilikuwa na mmoja wa hivyo hakuwa na msululu ila anaweza akaanza kumlembulia hata mdogo wako.

Nilivompiga chini alitafta hadi wazee na kuja kuongea na mm. Nilichomjibu mi sina tatizo na yy ila awe na amani cos kwa wakati huo sikuwa najisikia kuwa ktk mahusiano.

Alikuwa anasoma chuo akawa anatuma watu kuja ofisn kwangu kuomba msamaha bt msimamo wangu haukubadilika.

Baada ya miaka nikakutana nae akiwa na mshikaji wake, akaanza tena kwa kasi. Sikuwahi kujibu sms yake wala call yake.

Watu wa hivo ni tabia yao mkuu. Ukimsamehe leo baada ya muda anarudia tabia yake.

Make a wise decision!!
 
Msamehe kaka ila napata shida kuamini kama papuchi yake mnaipigaga vema....mkuu ukianza kuipiga fanya kama WW3 yaani ni vita....piga usijali utamu we mkomoe tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom