hebu pata likizo halafu simamia mwenyewe kwa muda ili uone mwelekeo!!!
Nakubaliana na kuchukua likizo ili kusimamia, lakini kabla ya hapo jaribu kuwepo dukani kila baada ya kazi pamoja tumia week ends na siku zako za off uuze mwenyewe utaona mapungufu mengi kwa mfano:
1. Muuzaji yupo makini na kazi au mladi apata mshahara.
2. Muuzaji anaanza bei za juu ili apate cha juu huku kwa upande mwingine.
anawafukuza wateja.
3. Duka lako lisiwe kijiwe cha mashost au vijana, baadhi ya wateja.
utawapoteza
4. Hata kama nguo ni zile try re-arrangemennt zingine zifiche/store kwa muda.
5. Usifanye biashara kuwa iwe part time au ya ziada, ifanye ndo itakayokuewka mjini muda si mrefu,UTATOKA TU