Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Hii nimeipenda sana....unataka ujadili uchumi wetu sisi watanzania?? Kwani huko kwenu kuna chama gani makini na uweke ilani yao hapa ili tutakapoweka ya chadema ambayo umeshaifanyia judgement kabla ya kuiona tuweze kucompare... after all ilani ya huku kwetu inasimamiwa na vasco sasa akimaliza uvumbuzi wa kuzunguka dunia nadhani ataanza kuitekeleza...
Usikurupuke.
Nisome mstari kwa mstari utanielewa.