Barua ya wazi kwa Dr Slaa Part 1 + 2 kuelekea 2015

Nimependa analyisis yako ya uwekezaji kwenye secondary equity market. Lakini inabidi kwanza uangalie, ni makampuni mangapi tanzania yapo listed DSE? Watu wana knowledge ya kutosha kuhusu secondary or primary market ya shares?

Pia hili suala lako umeliadress kwa wrong person. Kama wote tunavyofahamu, Slaa ni Padre by professional. Haya mambo ya Financing na Investing atayajulia wapi? Mbaya zaidi unamuadress yeye kama rais..what the hell..danm!
Rejao hicho ndio kitu gani? kama hujui kiingereza kwanini unalazimisha kukitumia?
 
Mawazo yako si mabaya. Kosa kubwa ulilofanya ni kujipa uhakika wa asilimia 100 kuwa Dr Slaa ndiye atakayekuwa rais mpaka unamwandikia barua ya wazi. Kwanza mpaka sasa hatujajua kama atagombea yeye. Lakini pamoja na hayo, kiswahili ni lugha tamu sana katika kuongea na adhimu yenye ladha, unaweza kuwa unajua kiingereza pia likini si lazima watu wote wajue kuwa unajua. Thread yako ungeiandika kiswahili tu, ingependeza zaidi. Pia kichwa kiwe 'barua ya wazi kwa rais wa awamu ijayo'

Hiyo ndiyo imani yake kwahiyo si vibaya na ukiangalia mwelekeo wa nchi sasa utaona dhahiri kuwa ccm kuendelea kubakia madarakani ni ngumu
 
Nimependa analyisis yako ya uwekezaji kwenye secondary equity market. Lakini inabidi kwanza uangalie, ni makampuni mangapi tanzania yapo listed DSE? Watu wana knowledge ya kutosha kuhusu secondary or primary market ya shares?

Pia hili suala lako umeliadress kwa wrong person. Kama wote tunavyofahamu, Slaa ni Padre by professional. Haya mambo ya Financing na Investing atayajulia wapi? Mbaya zaidi unamuadress yeye kama rais..what the hell..danm!

wadau nina wasiwasi na matumizi ya by professional. Iko siku mtu atapost fulani ni Mgonjwa by professional, mwanaume by professional. Anyway, napita tu.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
naludia kupost tena kama kuiremove mremove tena inamana mnataka watu wote mawazo yafanane?

padri slaa hawezi kuwa rais
kwanza ana historia ya usaliti
1.alilisaliti kanisa katoliki
lililomsomesha na kumpa hiyo
PHD fake.kwa kuliibia hela mpka
akafukuzwa
2.alilikisaliti chama kilichomlea
kwa tamaa ya madaraka ccm na
kukimbilia chama cha edwn mtei
cdm
3.amemsaliti mke wake wa
kwanza rose kamili.kisa tamaa
HATA AKIPATA NCHI ATATUSALITI
HUYU KWA KUWA NDIO TABIA YAKE
Madaktari wapo kwenye mgomo, sasa nani atakutibu huu ugonjwa mbaya unaoisumbua akili yako? Labda upelekwe kule Korogwe kwa profesa Maji marefu.
 
Nimependa analyisis yako ya uwekezaji kwenye secondary equity market. Lakini inabidi kwanza uangalie, ni makampuni mangapi tanzania yapo listed DSE? Watu wana knowledge ya kutosha kuhusu secondary or primary market ya shares?

Pia hili suala lako umeliadress kwa wrong person. Kama wote tunavyofahamu, Slaa ni Padre by professional. Haya mambo ya Financing na Investing atayajulia wapi? Mbaya zaidi unamuadress yeye kama rais..what the hell..danm!

@Rejao,
1. The right person kwa hili swali ni nani?

2. Unasema Slaa ni Padre by professional (nadhani ulimaanisha by profession). Hata hivyo ili mtu apate upadre anatakiwa awe amesomea nini na kwa muda gani? Ulishapitia curriculum ya shule za seminari? Inasemaje? kwamba mtu atasoma mistari ya biblia peke yake kwa miaka 15? Una uhakika gani kuwa Dr Slaa hajui mambo ya Financing na Investment?

3. Unajuwa wako waalimu mapdre (by profession) wanaofundisha Economics? Mimi binafsi nimefundishwa economics (form VI) na mtumishi wa mungu - seminary all the way! Na alikuwa na uwezo mkubwa wa ku-articluate kile alichokuwa anafundisha.

4. Kwa uelewa wangu Dr Slaa alisoma soma la economics A-Level, je, unafahamu hili?
 
@Rejao,
1. The right person kwa hili swali ni nani?

2. Unasema Slaa ni Padre by professional (nadhani ulimaanisha by profession). Hata hivyo ili mtu apate upadre anatakiwa awe amesomea nini na kwa muda gani? Ulishapitia curriculum ya shule za seminari? Inasemaje? kwamba mtu atasoma mistari ya biblia peke yake kwa miaka 15? Una uhakika gani kuwa Dr Slaa hajui mambo ya Financing na Investment?

3. Unajuwa wako waalimu mapdre (by profession) wanaofundisha Economics? Mimi binafsi nimefundishwa economics (form VI) na mtumishi wa mungu - seminary all the way! Na alikuwa na uwezo mkubwa wa ku-articluate kile alichokuwa anafundisha.

4. Kwa uelewa wangu Dr Slaa alisoma soma la economics A-Level, je, unafahamu hili?

mkuu huyu mwehu hajui kama mtu huwi padre bila shule ya kutosha.
 
Kweli kiswahili ni lugha tamu sana katika kuongea lakini mtoa mada hakuongea lakini ameandika!! pili sina uhakikakuwa hapo kwenye red ni Kiswahili. je wewe unaujalije uadhimu wa kishwahili?

Ahsante kwa rekebisho la kosa katika uchapaji.
 
naludia kupost tena kama kuiremove mremove tena inamana mnataka watu wote mawazo yafanane?

padri slaa hawezi kuwa rais
kwanza ana historia ya usaliti
1.alilisaliti kanisa katoliki
lililomsomesha na kumpa hiyo
PHD fake.kwa kuliibia hela mpka
akafukuzwa
2.alilikisaliti chama kilichomlea
kwa tamaa ya madaraka ccm na
kukimbilia chama cha edwn mtei
cdm
3.amemsaliti mke wake wa
kwanza rose kamili.kisa tamaa
HATA AKIPATA NCHI ATATUSALITI
HUYU KWA KUWA NDIO TABIA YAKE

Wewe ni nanai unasema hawezi kuwa? Wewe unamtaka nani? au tuendelee na huyu wa sasa? Ila kinachokusumbua wenye akili wameshakujua, ila mnayo kazi hatakama atarudi gamba bado hutampata unaye mtaka wewe lazima mambo yabadilike haitawezekana kuendelea kwenda shimoni kwa kuwafuata viongozi vipofu!
 
wakimpa asha, bora kuingia msituni hata kwa manati.

Litakuwa tusi kwa watz.
 
@Rejao,
1. The right person kwa hili swali ni nani?

2. Unasema Slaa ni Padre by professional (nadhani ulimaanisha by profession). Hata hivyo ili mtu apate upadre anatakiwa awe amesomea nini na kwa muda gani? Ulishapitia curriculum ya shule za seminari? Inasemaje? kwamba mtu atasoma mistari ya biblia peke yake kwa miaka 15? Una uhakika gani kuwa Dr Slaa hajui mambo ya Financing na Investment?

3. Unajuwa wako waalimu mapdre (by profession) wanaofundisha Economics? Mimi binafsi nimefundishwa economics (form VI) na mtumishi wa mungu - seminary all the way! Na alikuwa na uwezo mkubwa wa ku-articluate kile alichokuwa anafundisha.

4. Kwa uelewa wangu Dr Slaa alisoma soma la economics A-Level, je, unafahamu hili?
FJM,
Naona unajaribu sana kumtetea Slaa.
Kuhusu swala la right person, Who is Slaa mpaka mtu amwandikie barua ya wazi akimuomba msaada wa masuala ya kiuchumi?

Kuhusu elimu ya Seminary. Kilichopo, kwenye process ya kusomea upadre, mtu husomea elimu ya kidunia kuanzia form one mpaka form six tu. Baada ya hapo wanaanza philosophy then Theology. Ukianagalia couse content za Philosophy na Theology, hamna kozi yoyote inayohusu mambo ya Finance! Kwa bahati nzuri kwenye thread ya Ritz ya kuquestion Phd ya Slaa, Padre Slaa mwenyewe alimention course alizozisoma.

Kuhusu mapadre kufundisha course za uchumi. Kama wewe umesoma Economics A level, utaona kuwa uchumi unaosomwa ni only forces za Demand na Suppy na nature of consumer na products martkets. Mambo ya Investments na Financing hayafundishwi A-Level.

Kuna baadhi ya mapadre ambao huwa wanakuja kusomeshwa degree za kwanza kwenye vyuo vyetu, hili silikatai cuz hata mimi nilisoma na baadhi yao na walikuwa vilaza sana. But kwa case ya Slaa, elimu yake ya duniani imeishia A-Lever. Kwa mantinki hii yeye ni form six leaver tu!!!!
 
wadau nina wasiwasi na matumizi ya by professional. Iko siku mtu atapost fulani ni Mgonjwa by professional, mwanaume by professional. Anyway, napita tu.
Yeah...jipitie tu!
 
Rejao, mapadre wengi wanaprofession zaidi ya upadre. kuna madacktari wa binadamu, wanyama, wahandisi, wachumi hadi maproffesor. Hiyo ndiyo tofauti kubwa baina ya mapadre/maaskofu na viongozi wa dini nyingine ambao wengi huishia kusoma dini tu.
Lakini mtoa mada amekosea kumuadress Dr Slaa kama Rais wa 2015. kwa sababu hata hiyo 2010 aliombwa kugombea na haikuwa kazi rahisi kumshawishi. Kwa jinsi CDM ilivyo tofauti na vyama vingine watu wenye sifa hutambuliwa na system ya chama na si kujitambua wenyewe na kununua wapigadebe magazetini na kwenye mitandao kama white hair. Halafu chama hufanya mikakati ya kumshawishi aliyeonekana ana sifa hiyo hadi akubali. kwa hiyo hatuna uhakika kama Dr Slaa ndiye atakuwa mteule tena kwa 2015 au la, ingawa wengine tungefurahi kama ingekuwa hivyo lakini itategemea mambo mawili. Kwanza chama kumteua, pili yeye mwenyewe kuafiki uteuzi.
Wapo maparde wenye profession kibao tu, mimi hili silipingi. But Slaa hana profession yoyote zaidi ya Upadre!! Pia hapa naongelea uelewa wa Slaa kwenye mambo ya Finance na si vinginevyo!
 
katika imani yangu naamini binadamu alipewa utashi na Mungu lakini inashangaza kuona binadamu huyohuyo anashindwa kujitofautisha na mbuzi.Hivi ni lini watanzania tutaweza kutumia utashi tuliopewa na Muumba? Tumeacha kujadili maada tunajadili itikadi zetu mbaya zaidi idikadi zenyewe za ushabiki.Tutumie muda wetu vizuri kwa kujadili mambo yenye msingi kuliko kupoteza muda kwenye chuki zetu.Wote tunakosea lakini kuna makosa mengine ni kwa sababu ya ujuha uliopo kwenye vichwa vya wengi.tofauti zetu za kisiasa zisiturudishe nyuma bali zitupe upeo zaidi.https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/yawn.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom